Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

President Museveni has linked the apparent appeal of his son, Gen Muhoozi Kainerugaba, to younger Ugandans to their “frustration” with weaknesses within the ruling National Resistance Movement...
0 Reactions
1 Replies
563 Views
Picha: Rais wa Uganda Yoweri Museveni Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekaidi wito wa Mataifa ya magharibi wanaotaka sheria kali dhidi ya ushoga ifutwe ikiwa ni moja ya sheria kali zaidi duniani...
0 Reactions
1 Replies
844 Views
Katika Nchi za Afrika Mashariki, Nchi ya Uganda imedhamiria kwa dhati kulinda maadili na utamaduni wa kiafrika kwa kutunga sheria kali ya kuwanyonga Hadi kufa mtu yeyote atakaye thibitika kuwa...
0 Reactions
3 Replies
582 Views
Kweli nimeamini Uganda hawana utani kabisa, kampeni takatifu ya kuwafyeka mashoga imeanza kwa kasi ya 5G Wenye nyumba wameanza kuwatimua mashoga kwenye nyumba zao kwasababu sheria iko wazi kabisa...
21 Reactions
33 Replies
4K Views
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka Mashirika Yanayosimamia sekta ya umeme kushusha bei kutoka Senti 8.5 Hadi Senti 5 za Dola Ili Kuchochea Sekta ya Viwanda.. Nanukiu'Hatuwesi kujadili...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
My Take: Vikwazo vikiwekwa watakaoumia ni nyasi wala sio kina Museveni, so watu wawe tayari kwa matokeo. -- President Museveni has signed the anti-gay bill into law following improvements...
1 Reactions
86 Replies
4K Views
Wabunge wa upinzani wameandamana kupinga bajeti ya Tsh. Milioni 220.6, sawa na Ush. Milioni 350 iliyopendekezwa kwa ajili ya Nguo, Vitanda, na Viatu vya Rais Yoweri Museveni, kwa Mwaka wa Fedha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Marekani umechukua uamuzi huo dhidi ya Anita Among huku Mbunge Asuman Basalirwa akisema yeye pia anaweza kuwa mwathirika wa kuwekewa vikwazo baada ya Uganda kuhalalisha Sheria dhidi ya LGBTQ...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wizara ya Afya imevunja ukimya kuhusu wimbi la sasa la mafua na kikohozi miongoni mwa wananchi. Wanachama kadhaa wa umma wameripoti visa vya hivi karibuni vya kikohozi na mafua na wengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa nini Waganda siyo wengi JamiiForums au hawafahamu kuwa kuna JF inayozungumzia maswala ya Afrika Mashariki, tatizo nini maana hapa EA news hata Kingereza kinatumika?
7 Reactions
159 Replies
23K Views
Mtoto mkubwa wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa atastaafu kutoka jeshi mwaka huu, baada ya karibu miongo mitatu ya kuhudumu ndani ya Jeshi. Muhoozi Kainerugaba, jenerali wa jeshi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri wa Nchi, Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya Mei 2, 2023 na mlinzi wake akiwa nyumbani kwake Kyanja, Kampala...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
Shule ya msingi Sekaza Memorial iliyopo kata ya Kiringente, Wilaya ya Mpigi nchini Uganda imefungwa kwa muda usiojulikana kufuatia taarifa kuwa kuna mapepo yanawashambulia wanafunzi. Uongozi wa...
0 Reactions
9 Replies
741 Views
Rais #YoweriMuseveni amepiga marufuku kusafiri nje ya Nchi na posho za ndani kwa Wabunge na Watumishi wa Umma ili kuokoa Fedha za kuendeleza sekta muhimu kama Mafuta na Gesi Hata hivyo, Waziri wa...
0 Reactions
4 Replies
973 Views
Mahakama imetupilia mbali ombi la Fortunate Kyarikunda aliyetaka kubatilisha uamuzi wa faini ya Tsh. Ush10.4 Milioni (takriban Tsh. 6.2 Milioni) kwa kuvunja uchumba na kwa Richard Tumwine. Mwezi...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Polisi Jijini Kampala wanamshikilia Kijana wa Miaka 18, aliyetumia akaunti feki ya Facebook kwa jina Dkt Ronnie akidai kumiliki Kituo cha Afya kisichokuwepo kiitwacho Medical Scrub Uganda...
1 Reactions
9 Replies
996 Views
Askofu Mkuu wa Anglikana, Stephen Kaziimba Mugalu amenukuliwa na Tovuti ya Serikali ya #NewVision akisema kuwa bado ana zawadi zinazojumuisha 'kiasi kikubwa cha fedha' zilizokusudiwa kwa Wanawake...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenzako akinyolewa, za kwako tia maji. Imedhihirika kumbe tunaopata shule siyo kina sisi peke yao, bali na serikali husika hasa zile zenyewe sugu kwenye kukiuka haki za watu. Hapa, Uganda...
0 Reactions
2 Replies
747 Views
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza kwamba Russia haihusiki kwa vyovyote vile na ongezeko la bei ya bidhaa muhimu kote duniani, na kwamba taarifa hizo zinaenezwa na nchi za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom