Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Hii sasa ni ajabu ya Karne; Ina maana kuna waganda wanatumia zaidi ya miezi 6 kabla ya kukutana kimwili baada ya kuoana? Sasa kwa muda huo huwa wanafanya nini? Mzee wetu gentamycin huko Uganda...
0 Reactions
1 Replies
511 Views
Marekani ilitangaza Jumatano kuwa inaweka vikwazo kwa maafisa wanne wa Jeshi la Polisi la Uganda kutokana na tuhuma za kuhusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu. Wizara ya Mambo ya Nje...
1 Reactions
11 Replies
733 Views
General Muhoozi amejitoa kwenye kinyang'anyiro cha uRais wa Uganda na atamuunga mkono baba yake mzee Museveni Muhoozi atajikita zaidi kwenye kujenga Jeshi la kisasa Sabato Njema 🌹 ==========...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya jana kudaiwa kupigwa risasi katika mzozano na maofisa wa usalama Mji Mkuu wa Kampala...
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema kwamba kiongozi huyo wa National...
0 Reactions
3 Replies
372 Views
Rais Yoweri Museveni amesisitiza kuwa Serikali haiwezi kuruhusu utaratibu wa Dhamana kwa Watu wanaotuhumiwa kuhusika na Ufisadi, Rushwa na Kesi za Mauaji. Akizungumza katika mkutano wa kila mwaka...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Msanii na kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Boby Wine, apigwa risasi ya miguu akiwa katika hali ya vuta n'kuvute na polisi katika kijiji cha Bulindo nchini Uganda. Hivi sasa kiongozi huyo...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu. Its no longer news kuwa siku ya jana kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine alipigwa risasi ya mguu na vikosi vya usalama vya Uganda. Soma pia: Boby Wine apigwa risasi...
3 Reactions
8 Replies
583 Views
1 + 1 = 2, watanzania wengi tume focuss kwenye 2 kwamba Idd Amin alivamia Kagera na ndio chanzo, tunasahau kwamba Kuna 1 + 1 zilizosababisha ikawa hio 2 na hata ukienda Wikipedia nao hawajui...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwani kuukubali ukweli kuwa kila kitu kina mwanzo na mwisho ni huwa ni ngumu?? Huu ukatili wote wa nini? Halafu wote wanaujiuguza majeraha! Ugandan athlete in hospital after Kenya petrol attack...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi Nimekuwa nikifuatilia sana historia na makala mbalimbali kuhusiana na maisha ya Mwamba wa Africa, Hayati Idd Amin Dada. Nilichokuja kugundua kuwa huyu jamaa alichukiwa sana na...
8 Reactions
75 Replies
8K Views
Polisi nchini Uganda wamewakamata wanawake kadhaa waliokuwa wakifanya maandamano ya utupu kupinga ufisadi nchini humo. Wanawake hao, baadhi wakiwa na vifua wazi, na mabango, walikamatwa...
3 Reactions
11 Replies
916 Views
Mwanamume mmoja wa Uganda anayesadikiwa kupatikana na fuvu za binadamu 24 huenda alikuwa akizitumia kwa ajili ya kafara ya binadamu na anaweza kukabiliwa na kifungo cha maisha gerezani, polisi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais Yoweri Museveni amewaonya Wananchi wanaopanga Maandamano ya Julai 23, 2024 yanayolenga kupinga Vitendo vya Rushwa nchini humo. Museveni amesema "Una haki gani unayotafuta kwa kuleta...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Hakika kwa hili Museveni ametisha sana, Mungu aendelee kumtunza, kwa hili jambo amecheza kama Messi. Kuanzia sasa LGBTQ ni haramu Uganda, kumbukeni juzi hapa Kenya waliruhusu vitendo vya LGBTQ...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Walimu kutoka baadhi ya maeneo nchini Uganda wameiomba serikali kufadhili elimu kwa walimu wote wa Daraja la III ili kuwawezesha kupata shahada za chuo kikuu. Wanasema kuwa mishahara yao ya sasa...
0 Reactions
3 Replies
499 Views
Raia mmoja wa Uganda anayefahamika kwa jina la Asuman Lukwago anaomba msaada kutoka kwa Ubalozi wa Marekani baada ya kupata ulemavu katika ajali iliyotokea Februari mwaka 2024 iliyomhusisha...
2 Reactions
1 Replies
788 Views
Wizara ya Elimu nchini Uganda imewasilisha Muswada wa Taifa wa Walimu wa 2024 Bungeni, ambapo Waziri wa Nchi wa Elimu ya Juu, John Chrysostom Muyingo, ameeleza kuwa muswada huo unalenga kuboresha...
1 Reactions
0 Replies
523 Views
Wafanyabiashara katika jiji la Kampala wako kwenye mgomo wakipinga ushuru wa juu kwa bidhaa zinazoingizwa na mfumo wa ukusanyaji ushuru, Mfumo wa Elektroniki wa Kutoa Risiti na Ankara (EFRIS)...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Uganda's President Yoweri Museveni has warned protesters that they will be "playing with fire" if they press ahead with plans to stage an anti-corruption march to parliament on Tuesday. Young...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom