Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la Wagonjwa 21 wote wakiwa raia wa Uganda na wamepatikana baada ya sampuli 1,071 kupimwa katika mipaka ya nchi hiyo Wagonjwa hao wamepatikana katika...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Visa ya #COVID19 nchini Uganda vimefikia 160 baada ya visa vipya 21 kutangazwa jana kufuatia sampuli 1,896 kupimwa hapo jana Kati ya sampuli hizo, 1,593 ni madereva wa malori na 303 ni sampuli...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Arua, Uganda | THE INDEPENDENT | Five Tanzanian truck drivers who tested positive for COVID-19 have been discharged from Arua Regional Referral Hospital. They include four drivers who were...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Serikali ya Uganda imeanza kutumia mashine za GeneXpert mipakani, ili kuwapima madereva wa magari ya mizigo kabla ya kuingia nchini humo Taarifa kutoka Wizara ya Afya imesema kumekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uwendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona. Ameliambia shirika la habari la Uganda NBS kwamba mipango ya...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakati Kenya ikilalamika kwamba Tanzania ndio chimbuko la virusi, waganda wanaiona Kenya ndio nchi yenye kuingiza virusi kwa wingi nchini mwao. Tanzania haijachukua hatua Kali kama kuwauwa raia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizara ya Afya imesema dereva mmoja amekutwa na maambukizi baada ya sampuli 2,168 za madereva kufanyiwa vipimo. Dereva huyo ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 27 na aliingia Uganda kupitia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika hali ya kushangaza, kutia aibu na kusikitisha, Raisi Museveni ameitisha maombi ya nyumbani, ambapo yeye akiwa na mkewe wameonekana wakiongozwa maombi na muombaji ambaye aliomba kuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BREAKING: ministry of healthy of uganda has reported again today 13 truck drivers test positive for coronavirus in Uganda [emoji3532]Results of samples tested on 8 May, 2020 confirmed 13 new...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama ambavyo tumekuwa tunashauri, maisha hayawezi kusimama kabisa. Ni kweli lipo janga lakini tujikinge wakati mambo mengine yanaendelea. Tulisema kuwa baadhi ya nchi nyingi zili over react, of...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa idadi ya wagonjwa wa corona nchini humo imefikia 101 kutoka wagonjwa 100. Idadi hiyo imepanda baada ya Mtanzania mmoja ambaye ni Dereva wa Lori kutoka nchini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
NBS Television @nbstv Lockdown yapunguzwa makali. 1. Uganda kuzuia madereva wa magar ya mizigo kutokushuka kwenye gar pale waingiapo uganda. Watoto wa kike wa kiganda waonywa kutembea na...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa COVID19 nchini humo na idadi ya visa imefikia 89. Mgonjwa mpya ni dereva, raia wa Kenya aliyegundulika baada ya sampuli 2,729 za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mada tajwa hapo yahusika Hivi nauli ya ndege toka Kampala/Entebbe kwenda Juba ni UGshs ngap?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa watatu wa corona na kufanya idadi ya maambukizi ya jumla ua corona Uganda kufikia 88, wagonjwa wapya ni Dereva wa Lori MKenya na wa Burundi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Huku idadi ya wagonjwa waliopona Corona kufikia28 baada ya wagonjwa wengine 6 kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali leo hii. Rais Museveni wa Uganda amesema kuwa“Nawapongeza madaktari na wahudumu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Uganda has confirmed 4 new COVID_19 cases out of 1,989 samples tested on Sunday 26th April. All patients are Tanzanian truck drivers who arrived via Mutukula border, Ministry ofHealth says. 411...
3 Reactions
104 Replies
11K Views
Baada ya mafanikio makubwa kukabili maambukizi ya corona Uganda , waziri Jane Ruth Aceng amepeleka team ya waatalamu mitaaani kutathmini hali halisi na hatimaye kuundosha lockdown kwa awamu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
President Yoweri Museveni has assured Ugandans that government in conjunction with the regional leaders is exploring ways of dealing with the continued imported cases of COVID-19 as a result of...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom