Jamaa mmoja nchini Uganda aliyetambulika kwa jina la Ismail Dholaga mwenye miaka 35, amelazimika kunywa lita moja na nusu ya mikojo ya wanawake ili kurejesha fahamu baada ya kulewa tilalila...
Rais Yoweri Kaguta Museven wa Uganda akiwa ameketi huku wazee wakimpigia magoti na kupewa chochote kwenye bahasha ya kaki.
Ikumbukwe kuwa uchaguzi nchini Uganda unatarajiwa kufanyika mwakani...
Uganda deports Yvonne Chaka Chaka for lack of work visa
"The ordinary visa cannot enable her to perform in any income-generating activity within the country.
This has been done by immigration...
Maafisa wa polisi nchini Uganda, wamemkamata mwanamke mmoja aliyekuwa akivuka mpaka wa nchi hiyo kutokea nchini Congo, akiwa amebeba vipodozi haramu alivyokuwa amevifungasha na kuvivalisha kwenye...
Police in Uganda have arrested People Power movement leader Robert Kyagulanyi Ssentamu, popularly known as Bobi Wine, and several leaders of the group.
The Monday arrest was effected as police...
Rwanda ilikuwa eneo penye utawala wa kifalme tangu karne ya 16 BK kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la Ziwa la Muhazi. Watawala wenye cheo cha "mwami" kutoka kikundi cha...
Sekta ya biashara nchini Uganda imepata pigo kubwa sana mwaka huu kwa kuandikisha upungufu wa shilingi trilioni 3.4. Hii inatokana na mizozo ya kibiashara na mataifa jirani.
Kwa mujibu wa ripoti...
Inaelezwa kuwa Mganda mmoja amefariki na wengine kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na raia wa Kongo kwa watu wa Uganda.
Shambulio hilo lilitokea katika Soko la Nziapande, ambalo lipo...
Polisi wilayani Bududa wanamshikilia mwanamke mwenye umri wa miaka 47 anayedaiwa kumuua mumewe.
Inaelezwa kuwa Mwanamke huyo alimchoma kisu mume wake Bw. Jabi Wekoye hadi kufa, kufuatia ugomvi...
A meeting between Uganda and Rwanda that should have taken place on October 17 as a follow up to the September 16 one in Kigali to ease tension between the neighbouring countries is scheduled to...
Huzuni na mshtuko umetawala kwa wakazi wa Kijiji cha Kawanda B, Halmashauri ya Mji wa Lwamata wilayani Kiboga baada ya kupatikana kwa miili mitatu ya wasichana waliotekwa nyara siku tatu...
Uganda, Tanzania meet to finalise pipeline deal
SATURDAY JANUARY 19 2019
Oil pipeline. Uganda and Tanzania signed an agreement in May 2017 to jointly develop the $3.5 billion pipeline that...
Mwanamke mmoja katika wilaya ya Hoima mashariki mwa Uganda anashikiliwa kwa madai ya kumuua mpenzi wake baada ya kumfuma akimeza dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi (ARV)
Polisi...
Polisi wa Mji wa Bugiri wanawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumvamia mfanyabiashara kwa lengo la kumuibia pesa.
Watu hao inadaiwa walimfuatilia mfanyabiashara huyo kutoka Benki ya Centenary...
“They were conned out of billions of shillings in just twelve months.”
Hundreds of Ugandans woke up last week to a sad reality – they had been trapped in an exploitative scam by four Ugandans and...
Security officials inspect the vehicle in which the suspected armed robbers were travelling. NTV photo.
Security operatives Tuesday shot dead four men who were reportedly on a robbery mission...
Shirika la Uokoaji la Msalaba Mwekundu Nchini humo linaloendelea na uokoaji katika Wilaya ya Bundibugyo limesema kuwa watu wengi bado hawajulikani walipo kutokana na mvua kubwa zinazonyesha...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni Jumatano aliongoza matembezi ya kupambana na ufisadi katika mji mkuu wa nchi ya Afrika Mashariki.
Museveni alianzisha matembezi hayo ya kilomita nne yaliyofanyika...
Polisi wa huko Jinja wanachunguza tukio la walinzi wa usalama kumpiga risasi mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Kampala, tawi la Jinja.
Mwanafunzi huyo aliyetambuliwa kwa jina la Isaac...
Zaidi ya watu 30 wa Wilaya ya Bududa iliyopo Uganda Mashariki wamehofiwa kufariki kutokana na kufukiwa na matope yaliyosababishwa na mafuriko yaliyotokea katika eneo hilo kufuatia mvua kali ya saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.