Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Jamani viroboto wamevamia shambani ninapofuga mbuzi Kila madaktari wa mifugo waniamba nitumie roll on bila mafanikio
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Poleni na mihangaika ya hapa pale ndugu. Nimeanza kilimo cha bustani hasa mchicha lakini nakutana na changamoto kubwa hivi sasa mchicha wangu upo hatua ya kuvuna una majuma matatu hadi sasa...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
https://www.ajc.com/news/world/this-the-beginning-the-end-for-bananas-deadly-fungus-threatens-fruit/YP7qdPSlLquI1oJUIDBfuL/
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wataalam naomba msaada wa majina aina ya dawa ambazo zinaweza kusaidia kuondoa tatizo hili, ukiachana na huo weupe pia kuna matunda mengine yanakuwa kama yanaungua yanakauka na kudondoka.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba anayefahamu dawa ya huu ugonjwa wa parachichi za budding Mmea unakuwa na utando wa rangi nyeupe kama unga
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wataalamu wenzangu wa mifugo,naomba msaada wa dawa rahsi ya kumfanya paka au mbwa awe sterile( Tasa) bila kufanya operation ya kuondoa ovary.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi ni mtaalamu wa kufuga nguruwe na kuku wa kienyeji. Na pia nimetunga kitabu cha ufugaji wa nguruwe na kuku wa kienyeji! Kitabu hicho nakiuza kwa shilingi 30000 tu. kitabu hicho pia kitakupa...
0 Reactions
36 Replies
18K Views
Ndugu wadau wa ujasiriamali kwa wenye majibu ya uhakika naomba kufahamishwa mbali na masuala ya uwepo wa eneo, mtaji, leseni ya biashara ya TRA na usajili wa BRELA ni taratibu zipi zingine...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kwa anayejua gharama za ujenzi wa green house; hasa vifaa vyake kama poles na vyandarua naomba tujuzane. Karibuni
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Wadau nawasalimu, pia natoa pole kwa tukio la ajali ya moto iliyotokea morogoro . Ninatafuta mtama mweupe aina gadam au Karim. Tafadhali mwenye nao au anayejua unakopatikana tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi ni kijana ninasoma chuo, (SUA) Bsc Agronomy, nipo Likizo dar kwa sasa sina cha kufanya, sina hela na sina connection wakubwa naombeni ushauri wenu, nawategemea kimawazo, naweza kufanya kitu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wadau wote wa kilimo na ufugaji, muda wa kupata maarifa mapya ni huu mpaka tarehe 8/8. Tuepuke kufanya ufugaji na kilimo cha mazoea. Ukihudhuria maonesho haya utajifunza mengi kitaalam kati...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba muongozo mwakani nahitaji kulima kilimo cha maharage ya njano. Nahitaji kupata taaluma kidogo nipo wilaya ya Moshi. Pia kama nitapata na shamba la kukodisha itakua vizuri zaidi
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Nauza broiler wana week 5 Wapo kibaha Bei 5900 Kar
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Asalam wadau wa kilimo. Mm ni mdau nambari moja wa kilimo nchini. Nimekuwa nikihudhuria, kusoma, kusikiliza, kuangalia mambo yahusuyo kilimo kwa nia ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Kama zilivokazi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini za muda huu wakuu... Naomba yeyote mwenye mpango biashara wa kilimo cha parachichi au maembe anisaidie.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi mti wa mzambarau unaweza to a mbao?
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimekuwa nikikifuatilia kilimo cha Aquaponic kwa muda mrefu sasa .Naomba niwape elimu hii bure kabisa na vitu vyote nilivyoweza kupata katika kilimo hichi cha Aquaponic.Na imani kinaweza kuwa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Niko Kanda ya ziwa. Ufugaj wa samaki kwa njia ya 'cages' nimekuta ni uwekezaji mzuri kwa faida ya maana kama nilivyoshuhudia Uganda. Anayejua undani wa ufugaji huu na risks zake na sheria...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Wadau za Jioni?? Ninatarajia kuagiza Vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile Drip irrigation tapes na fittings zake kama Tape Plugs, PVC offtake, pia Sprinklers etc. Sasa kuna ambae ameshawahi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…