Habari wana Jamii, Kwa kifupi nimeanza kufuga Kuku wa Mayai (Layers) ni mgeni kabisa katika suala la ufugaji kuku wangu kwa sasa wana wiki 10 ila kuna Kuku kama 20 kati ya 300 wanatoa machozi...
Kwenu wataalam na wadau wa kilimo huu ni mche wa pilipili hoho nimeujaribu kuchunguza shambani nikaona miche mitano iko zaifu baada ya kuing'oa nikakutana na hali hii je ninaweza kutumia dawa zipi...
Kwa wale wafugaji wa kuku wa kienyeji na wasio na uwezo wa kupata artificial incubators, fuata njia hii kutotolesha vifaranga vingi katika kipindi kifupi.
Uwe na majike kadhaa wanaotaga (mfano...
Habari zenu wadau?
Naomba msaada wa kujuzwa mikoa na wilaya ambazo/ ambayo naweza kwenda kulima mpunga kwa msimu huu wa mvua.
Naombeni mnisaidie hasa wilaya zinazofaa kwa shughuli ya kilimo...
Wakuu habari poleni na majukum ya kitaifa!!!
Ase naombeni msaada nina kuku wa kienyeji matetei 30 na majogoo 4 tatizo hawa kuku nahisi kama kuna mtu ananichezea kwenye kuku wangu yani kuku...
Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii...
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
Habari wana JF.
Ninajaribu kujifunza kuhusu kilimo cha uyoga na pia ninaperuzi na masoko yake. Nataka kuwa mkulima wa uyoga lakini nataka kwanza nijue namna ya kutoa uyoga bora na kupata masoko...
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.
Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-
i. Upatikanaji wa...
Habari ndugu zangu, naomba kujua kuhusiana na kilimo cha maua kama vile waridi (roses). Ikiwa kuna mtu anafanya hiki kilimo au ana ufahamu nacho ni vema ukashea uzoefu wako hapa kwa manufaa ya...
Kifaa hiki chenye uzito wa kilo 18 kina uwezo wa kubeba kilo 80. Humuwezesha mtu kufikia juu ya manzi na kuangua nazi.
Kifaa hiki kilivumbuliwa kutokana na idadi ya wakwezi wa jadi kupungua na...
Wakuu habari za jioni nmepata hekari 1000 ambazo zipo kwajili ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga na hizo zimetolewa na serikali ya kijiji kwenye wilaya maarufu ya kilimo cha mpunga mashariti...
Habari za asubuhi wanajamvi, mimi ni kijana niliyeamua kujikita katika ufugaji kama njia mbadala ya kujiongezea kipato.
Nilianza na nguruwe 6 ambao wanaendelea vizur (wale wenye mabaka meusi)...
Wasalama Wana jamvi
Mimi ni mtanzania ambaye nimeitikia wito wa Serikali wa kulima kilimo cha korosho katika mkoa wa Tabora wilaya ya Kaliua na mpaka sasa nina ekari 20 za korosho zenye umri...
Muhogo ni zao la chakula na biashara lakini siku za hivi karibuni limeonekana kushamiri sana katika uwanda wa biashara kwa kusaidiana na kushirikiana na mashirika mbalimbali ili kupendeleza...
Campaign kubwa ya Kitaifa ya Cassava for life yazinduliwa Kilindi Mkoani Tanga.
Naibu wa Waziri wa Kilimo Mh Omary Mgumba amezindua kampeni kubwa sana Nchini ya Cassava for life Kilindi Mkoani...