Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari waungwana. Kuna mwenye ufahamu wa yalipo mashamba ya mpunga ya scheme ya umwagiliaji Ruvu? Au mwenye taarifa kuhusu kilimo katika scheme hii aelezee tafadhali. Shukran.
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarin wadau kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana. Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wanajukwaa nawasalimu. Hivi gharama za kuunda ngalawa yenye uwezo wa kubeba hadi tani 1 ya mzigo...inaweza kuwa bei gan?? Na ni wapi hasa wanapatikana wahunzi wabobezi katika ukanda wa pwani?!?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jf nakuombeni kujua zaidi ni wapi hizo lishe za ng,ombe mmoja kuongezeka kilo 2 na nusu kwa siku zinapatikana wapi katika mikoa ya Arusha na Moshi Natanguliza shukran
0 Reactions
31 Replies
15K Views
Habarini za siku. Naomba kujua idadi ya miche ya minazi inayoweza kupandwa kwenye eka moja ya ardhi. Pili nataka nijue aina ya mbegu bora kwa mazingira ya mkoa wa Pwani.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za wakati huu, naimani ni wazima bukheri wa afya na mungu anaendelea kutupigania kila iitwapo leo. Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji MTU wa kuniuzia dawa zifuatazo kwa bei ya jumla,amprolium,salfa dimin,s-dime,chick formula,OTC powder,trifarm,esb3,egg boosta,ascarex,piperazine,ant cocidiosis,farm acid,layer premix,na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naishi Rufiji Bungu, ni eneo linalojishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki ni kipindi ambacho ufuta unavunwa...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini za wakati huu wanaJukwaa Kwa yeyote mwenye kujua dawa ya hawa wadudu anisaidie iwe ya kienyeji au ya kitaalam ntashukuru..!
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam wanabodi Naomba link ya kujoin whatsap group la wafugaji wa ng'ombe na mbuzi, Nategemea kuanza ufugaji, hivyo nahitaji maarifa kutoka kwa wafugaji na wadau kutoka huko. Nategemea msaada...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Msaada wakuu. Namsaidiaje huyu Kuku? Nimekuta ana JICHO lina tongotongo linaziba, amekosa raha kabisa hata kula yake ya shida.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada wakuu. Namsaidiaje huyu Kuku? Nimekuta ana JICHO lina tongotongo linaziba, amekosa raha kabisa hata kula yake ya shida
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimenunua ng'ombe wale wa machinjioni sijui historia yake km amepewa dawa au VP naomba msaada nimpe nini kwa kuanzia,haonyeshi dalili za kuumwa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari ya Eid, naomba kujua nitakapopata miche ya miembe ya mda mfupi,, hapa dsm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau wa JF: Kwa wenye utaalamu na hili, Nimenunua kuku nikamwandaa vizuri na kumpika kwa takribani dakika 50 au saa 1. Nimeshangaa baada ya kuchukua nyama nimekutana na minyoo ikiwa hai...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Unaitwa Lucerne au Alfa alfa kwa wale wafugaji nadhan mtakuwa mnaupata!
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Kwa wakulima wa morogoro nisaidieni bei ya mbegu za nyanya aina ya eden shanty na assila
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Nilitamani kufuga kuku wa kienyeji ili nivune mazao yao. Changamoto ninayoipata ni wadudu jamii ya utitiri. Yaani ukienda kuwafungulia banda lao unakumbana na utitiri wa kufa mtu. Hapa nilipo...
0 Reactions
51 Replies
13K Views
Wanabodi. Mbuzi wangu amezaa vitoto vitano( pichani) najiuliza hapa mbegu ni hilo dume lilipanda au huyu jike Kimsingi dume hata silifahamu na sijafuga dume .ili kuenedeleza kizazi hiki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…