Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari, Wapendwa naomba msaada nataka nifanye biashara ya kuuza Sendoz za kimasai nitoe Dodoma nkafungue duka Mkoa mwingine ambako ni adimu kupatikana. Sasa naomba kujua nitapata wapi nchukue...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Baada ya kuona maisha yamekua magum nyumban na uwezekano wakwenda shule mwaka huu kuwa mgum nimeamua kujtoa muhanga kwenda mkoa wa iringa ili kuangalia fursa mbalmbal ambazo zaweza kúnisaidia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba msaada kwenu.... Nategemea kupata kuku wa nyama hivi karibuni hivyo naomba kupewa maelekezo pindi tu watakapofika. Kuku watakuwa 200 , banda lipo zuri, . Chakula gani na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Incubators full automatic zenye uwezo wa kuchukua mayai 528 kwa wakati mmoja zinapatikana pamoja na garantii ya mwaka mzima! wasiliana na namba 0763 395933 au 0785 670038. Karibuni sana
1 Reactions
3 Replies
963 Views
Je umeshafanya biashara yoyote bila mafanikio? au kujarb harakat zozote za kujikwamua kimaisha bila mafanikio? Kama jibu ni NDIO tuone sisi wataalam wa semina za ujasiria mali tukupe mbinu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajasiriamali nauliza soko la uhakika la samaki aina ya kambale au Catfish....Hivi kuna hotels ambazo wanatumia hawa samaki.? au naweza je kufanya value addition.?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana JF Nauza htc one s 250k, Ncheki apa 0718764507 kwa aliye serious tu.
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Wanajamvi natafuta mayai ya kuku wa kisasa kwa ajili ya kuuza maana nina fremu yangu ya mayai lakini mzigo napata kwa kusuasua....Mwenye nayo naomba anipe bei nzuri na uwezo wake kunisupply...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafazali wadau nataka kujua bei ya vitunguu maji na swaumu huko ulipo bei ya sokoni
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Dagaa ni safi na wana ladha nzuri. Bei ni jumla na rejareja, unaletewa ulipo kutokana na idadi utakayochukua. Niko Makumbusho Dar. 0755865251
0 Reactions
13 Replies
3K Views
4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anaefahamu namna ya ufugaji wa samaki.Nimekua na shauku yakufuga samaki ila nashindwa kwani sina japo elimu kidogo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta wateja wa kuku wa kienyeji
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa mahitaji ya kupimiwa viwanja,mashamba na kutafutiwa hati miliki wasiliana nami kupitia namba hii+255716638238..uweze kupimiwa ardhi yako kwa bei nafuu...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Wadau naomba kufahamu bei ya viazi mviringo ya tarime, nataka nifahamu niiweke katika mpango wa kusafirisha kwenda mwanza, hivyo wenyeji wa tarime au wafanya biashara hiyo naomba wanisaidie...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa wale wenye uhitaji wa perfume za set za kike na kiume zinapatikana kwa bei ya Tsh.60,000 na Tsh.70,000... Set imekusanya perfumes 2 S/s na L/s na body lotion na shower gelly! Wahi nipm ujipatie
1 Reactions
0 Replies
36K Views
Kwa wenye mahitaji ya mbao aina zote mnakaribishwa treated na sypras kwa bei nzuri toka mafinga bei ya cubic meter iko chini sana ukilinganisha na ukiuziwa hapa mjini njoo tufanye biashara Pamoja
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini ndugu, Kichwa cha habari hapo juu chajieleza. Nahitaji maua ya aina mbalimbali na nyasi za kisasa nyembamba zenye umbo la bomba rangi kijani iliyokowa, hii ni kwa ajili ya bustani yenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Naomba nijuzwe wapi naweza pata mashine za kuranda na kuchana mbao pamoja bei zake. Mimi napatikana Dar na Dodoma.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom