Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wana JF, naishi dar, nilikuwa nina mpango wa kuanzisha biashara ndogondogo. Nilikuwa nahitaji kijana yeyote aliye Tayari tushirikiane pamoja katika hili. Tutagawana Faida sawa na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ndugu ,mimi ni mfugaji wa kuku kwa muda nimekuwa nikiuza wakiwa wazima. kwa sasa nataka niongeze thamani ya kuku wangu nifungashe, niweke label, na kuuza. nzifahamu hatua zote za kupitia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wapendwa wote,naamin mmeamka salama kabisa....nko na jambo hapa naomba msaada toka kwenu ktk kuplaniwa ni biashara gan nifanye kulingana na mtaji wangu nlionao na eneo nalo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wanaohitaji "fresh Strawberry", carrots, vitunguu na viazi kwa bei ya jumla na rejareja tutafutane kwa 0713769013 au 0765452928 kama tigo haopatikani. Napatikana Moro na Dar
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadau. Nina banda ambalo urefu ni mita 10 na upana ni mita 3.Malengo yangu ni kufuga kuku wa kienyeji 250 wa mayai nikitarget kupata at least tray 7 per day. Swali,1:je ukubwa wa...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya chakula na wakati mwengine nafanya biashara. Ni kipindi sasa toka niachane na kuuza kuku na badala yake nauza mayai na nimegundua...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Nafikiria kununua ki-Suzuki carry kwa biashara. Naomba ushauri wenu kwa wale wenye uzoefu wa biashara hii. Mfano; Kwa siku hesabu imefikia ngapi, n.k.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu wa JF hasa MR. MLILA Nataka kuanzisha kilimo kikubwa cha alizeti, kutokana na soko lake kuwa la juu sana hapa nchini nimeona ni muda muafaka nijikite huko na sitakuwa hapa mjini kwa muda...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wakuu. Kwa yeyote mwenye uhitaji wa mbolea ya Ng'ombe awasiliane na mimi, nitakupatia bure kabisa. Karibuni, Tougher.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanaJF! Natafuta jiko la kukodi kwa ajili ya biashara ya chips maeneo ya Dar es salaam. Aliye na jiko au aliyesikia kuna mahali jiko la kukodi ani-PM..
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nauza vifanga vya kware vya week moja tsh 3000 na vya week tatu tsh5000,karibu 0786769603
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Habari wana JF. Naombeni anayejua wanunuzi wa kuku wa nyama (broiler chickens) wanaonunua kiasi kikubwa kama kuku 1000 kwa wiki anijulishe tafadhali. Nafugia Kibaha kwa Matias. Asanteni sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natanguliza shukrani zangu kwa wajasiriamali wote Naomba msaada wa kimawazo Kwa mtaji wa M1 kwa Mwanza naweza fanya biashara gani?? Ntashukuru sana kwa mawazo yote ntakayopokea toka kwenu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta greenhouse ya bei nzuri. Naomba mwenye kujua wapi naweza kuipata anijuze. Nahitaje iwe complete system ikiwa na drip irrigation system yake. Size kuanzia 8mx15m.Ahsante.
2 Reactions
9 Replies
9K Views
Jamani naomba yeyote anayekodisha chumba cha biashara Dar kilichopo sehemu nzuri ani PM tuwasiliane, hata kama ulisikia kipo sehemu plz help me. Ahsante.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, mimi ni mjasiliamali nimeanza kutengeneza mabanda kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe naomba kujuzwa kama naweza kupata vifaranga vya nguruwe maeneo tajwa hapo juu. hata kama...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
HABARI WANANCHI WENZANGU... JF ndio kimbilio langu,naam nahitaji kufahamu biashara hizi mbili ili nami nianze kidogokidogo nitashukuru kama nitasaidiwa tafadhalini| nahitaji kufahamu kuhusu hizi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wafugaji oyeee Vifaranga kienyeji/chotara wanapatikana (cross ya red rhode Ireland &kuchi ) Vifaranga kwa oda 1-3day old chick 2000 Tunapatikana mbezi mwisho (Mbezi ya kimara)...
6 Reactions
86 Replies
24K Views
Nahitaji vifaranga 500 Alhamisi hii kwa Wakala yeyote wa Inter-chick jamani msaada unahitajika haraka. Piga simu: 0-657 740 797
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wajasiriamali..... mimi Ni mfugaji ninayejifunza kuwa mfugaji bora... kuna kuku nimemkuta anatoa machozi na anavitu vyeupe machoni... nimejaribu kumsafisha na maji ya vuguvugu na chumvi...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…