Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Naomba mawazo na ushauri juu ya vifaa gani muhimu vya kuwa navyo kwa kuanzisha video production company? Vifaa kama editing computers, software etc. Na naweza kuvipata wapi?
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari waJF, kwa ufupi nipo Dar kwa maeneo ya Chanika sina uenyeji wa kupata shamba la kukodsha. Nataka nkalime kilimo cha nyanya mwezi wa pili kulingana na hali ngumu ya maisha, nmetafuta kazi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Natafuta mtu wa kufanya nae biashara,yani tufanye ujasiria mali pamoja ,kwa yeyote mwenye fedha lakini hajui awekeze wapi aje na walau laki tano na mimi nitoe tupate milioni moja tuwekeze...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza kuku wakubwa wa kienyeji matetea bei inaanza elf 20000/= tetea mkubwa kabisa elf 25 na majogoo bei ni elf 23000/=,25000/= na 30000/= ukinunua jumla kuanzia kuku watatu kuna punguzo la elf 2...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau wa jf nina kipesa kidogo shiling laki 6. Ninataka ushauri wenu ni biashara gani kwa huo mtaji nitamudu vyema. ASANTEN
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Target: NECTA form four results in local areas. Nimekaa nikawaza hapa mjini siku hizi karibu kila mtu ana simu ya kuweza kuangalia matokeo ya kidato cha nne pia kuna internet cafe kibao na pia...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wana jamvi..pub iwe kuanzia mwenge hadi bunju. Nk pm please.
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Nina mpango wa kuwa mjasilia mali wa kilimo cha viazi (irish potatoes) Mkoa wa Njombe. Nikiwa aktika jitihada za kutafuta mtaji marafiki walinishauri nitengeneze mpango kazi (project plan) halafu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu Wanajamii Nataka Kujua Mbinu Za Utengezaji Wa Sabuni Za Kufulia.pamoja Na Mishumaa Na Uzi Huu Kwa Ajili Ya Kupata Maarifa Na Ufahamu Namna Ya Kutengeneza Bidhaa Ndogo Ndogo Kwa Ajili Ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Update: Hali ya soko imerudi kama kawaida yake, yale mayai yaliyokuwa yanauzwa kwa mafungu (4000 - 4500) kwa tray yemeisha. Tray kwa sasa ni 6500 hadi 7,000 kwa bei ya Jumla. Serikali...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Logo ni alama au nembo iliyodizainiwa mahsusi kwa ajili ya biashara yako, inayotumika kukutambulisha nje na ndani ya ofisi. Au Logo ni alama au nembo inayotumika kutambulisha...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Habari wadau, nimeona inahamasishwa kule facebook na mtu mwenye id na picha ya mh zitto kabwe kwamba watanzania wachangamkie mkopo unaotolewa na taasisi hii na taarifa zaidi kuhusu hii taasisi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji pure. sasa nina vifaranga 20 ambao wana umri wa mwezi mmoja. Nawapa chakula cha starter (dukani). Mpaka sasa nimewapa chanjo za OTC+, Newcastle na Gumboro. kati...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habar za leo ndg zng. Natoa mikopo midogo kwa wanawake wajasiriamali Tanzania kuanzia lak2 mpk 3 kwa mkopo wa awali ila kw kikundi cha wanawake wasiopungua kumi.kwa kila kikundi natoa 3ml kwa riba...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Mashine ya Kusaga na Kuchanganya Chakula Cha Kuku,
2 Reactions
12 Replies
18K Views
Nitapata wapi kuku broiller kila siku 30, kwa bei nzuri kabisa mwenye maini yake. Please whatsapp 0788242700
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nafanya qualitative research na ningependa kupata data humu ndani kwa Magreat Thinker. Nataka kupata maoni ya vijana wajasiriamali. Ni changamoto zipi huwa wanakumbana nazo katika biashara wakiwa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu heshima kwenu, Ilikuwa tarehe 25 December mwaka ulopita Mtwa Mkulu aliweka Tangazo akituhamasisha vijana tuungane tuache kuzunguka huku na huko kwani kwa sasa serikali imeshindwa. Haiwezi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani kuna pagale (nyumba ambayo haijapauliwa) maeneo ya mtwivila, nje tu ya geti la chuo cha mkwawa iringa linauzwa. Limejengwa kwa tofali za kuchomwa, lina linta imara kabisa, kuta zote...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu zangu kuna watu wanapenda sana kufanya shughuli za ziada kama kilimo na ufugaji lakini tatizo wanakuwa hawana muda wa kusimamia kutokana na majukumu ya kazi zao za kiofisi kwa walio ajiriwa...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…