Habari wanajamvi
Ninatafuta dalali/mfanyabiashara wa mbuzi mkoani Tabora kwa yeyote anayeweza kunisaidia kwa hilo nitashukuru sana.
Tuwasiliane 0788303079
MBUNGE WA RORYA MH. JAFARI WAMBURA CHEGE AWAKA NA BEI YA DAGAA KWENYE MIALO
👍Leo akichangia Wizara ya Mifugo na Uvuvi,Mbunge huyo wa Rorya Mh JWC atoa Ushauri kuhusu Bei ya Dagaa mwaroni walipo...
Ndugu wanajamvi.
Naomba wataalamu wa kilimo wanijibu swali hili muhimu ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa miaka mingi. Kama karafuu inastawi vizuri unguja na pemba ambayo ni kisiwa chenye hali ya...
Mimi ni mdau wa kilimo. Nina mashamba kadhaa baadhi ya mikoa. Ila natafuta mdau mwenye mzuka wa kilimo tulime, kwa shamba langu liliopo Mkoa wa pwani, Wilaya ya Kisarawe, kijiji cha Kisanga ekari...
Nasikia gunia la kitunguu saumu la debe tano linauzwa 500,000.
Hiki kitunguu hakina mbegu hivyo unapanda vile vipande vyake. Wanasema ekari moja inaweza kupanda gunia 16 hadi 28 za kilo mia...
Madaktari wa Mifugo: Ng'ombe amekata maziwa ghafla to zero level
All of a sudden amekata maziwa. Mchungaji anasema uchangamfu aliokuwa nao umepungua. Inaweza kusababishwa na nini? And what is the...
Habari wadau na wajasiliamali. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nataka nianze ufugaji pia wa hawa chotara. Naomba kuuliza ni baada ya muda gani naweza kuvitoa vifaranga nje vikashinda kisha...
Habarini Wanajf
Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi.
Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma.
Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa...
Habari
Nahitaji eneo lenye ukubwa wa Ekari 3 kuendelea hata 5 au 6 sio mbaya kwaajiri ya kukodi na kama tutaelewana naweza kubaliana kufanya manunuzi.
Nataka liwe maeneo ya kuanzia kibaha hadi...
Wakuu,
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama Milioni 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo
Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu...
MBUNGE BAHATI NDINGO, Mbunge wa Jimbo la Mbarali Akichangia Bajeti ya Wizara ya Kilimo ya Shilingi Trilioni 1.2 Mwaka Mpya wa Fedha 2024-2025
"Natoa pongezi za dhati kwa Wizara ya Kilimo kwa kazi...
Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein...
MHE. TIMOTHEO MNZAVA, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mwaka Mpya wa Fedha 2024-2025 Bungeni Jijini Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini...
MBUNGE SUMA FYANDOMO: RAIS SAMIA ALITOA RUZUKU NA BEI YA MBOLEA IKASHUKA KUTOKA TSH. 150,000 MPAKA TSH. 60,000/KILO
"Nampongeza sana Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Amir Jeshi Mkuu kwa...