Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Jaman naombeni kujuzwa kuhusu faida ya tgo pesa na m pesa mtu anaipata vp..?
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Habari za jioni wana jm,naomba msaada kwa mtu aliye morogoro mjini, biashara gani au mradi gani unafaa kwa mtaji wa sh milion 1 na nusu,tafadhali saidia mawazo.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
kwa wanauza au wanataka kununua >mashamba >nyumba >kupangisha >cm >nakitu chochote wasiliana nasi kwa 0786584800 au donardgeorge@gmail.com kwa walio mbeya tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu! Mimi ni mdau mpya humu!ninarafiki yangu ndo alinielekeza huku baada ya kumuelezea kuhusu maisha yangu na kumuomba ushauri,mimi wakuu nimegraduate mwaka huu! Nilifanikiwa kupata mahali pa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
wakuu,nimekuwa nikipitia tovuti mbali mbali zinazohusu biashara tofauti za mtandaoni,kama vile magari,bidhaa za kielektroniki,kwa kweli kuna vitu vina ubora na bei nafuu,hata usafirishaji wake...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Heshima natanguliza. Baada ya kuzunguka katika maduka na supamaket kadhaa, nimepata oda ya kusambaza unga wa lishe. Tatizo hata sijui vifungashio nitavipata wapi. Tafadhali naombeni msaada...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
ndugu zangu nipo morogoro naitaji kufungua biashara ya kuuza kitimoto ningeomba wenye uzefu mnisaidie nijue mambo ya msingi yakuzingatia na kama kuna mtu wa morogoro mjin anisaidie jinsi ya kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii wenzangu ni maeneo gani (Trading centre) yaliyokaa vizuri kwa Biashara kama kuchaji simu, secretarial services, kuonyesha TV kwa ku tumia solar ambayo yapo nje kidogo ya jiji la Dar na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nigependa kujua ni mtanda upi I.e tigo-pesa, airtel-pesa, vodacom-mpesa etc unatao huduma bora kama vile kuunganisha bank account and account yako ya simu kama nilivyoeleza hapo juu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa jina la mwenyezi Mungu, nikitumaini mu_wazima wenye siha njema. Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kufahamu wapi wanapo 'publish' vitabu popote kwa mikoa ya Mwanza, Dar, Arusha na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajf mwaka unatamatika.Natamani mwaka ujao niwe mjasria mali.wazo langu nikumiliki kampuni yangu ya uchapishaji wa vitabu.(publishing co.)NAOMBA USHAURI WA HATUA ZA KUFUATA ILI LENGO LANGU...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani kwa mwenye uzoefu na biashara ya tax,tafadhari anisaidie kujua je inalipa?yaaani hesabu ni shangapi,total kwa mwezi na running cost zikoje on average?inaweza kuyafanya maisha yaendee...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu naomba tupendekeze majina matatu ambayo ambayo badaye tutawashindanisha na kupata mjasirimamali wa mwaka 2013 wa jamii forum
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu ,naomba ushauri kilimo cha Magimbi kabla sijajitosa.Nina shamba maeneo ya Mkuranga. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
16 Replies
15K Views
Habari wadau biashara gani itaweza kuniingizia 10,000 kwa siku na yenye mtaji mdogo.Asante wana jamvi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jameni naombeni msaada nina kuku wana miezi 5 na karibu wataanza kutaga, je nawezaje kuwapunguza midomo yao? Kingine jkuhusu viota nimewawekea nimechelewa ama huu ndo muda muafaka wa kuweka viota
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa JF naomba mtu yeyote anayejua au mwenye connection na wadau wa biashara ya Vinyago(tofauti tofaut) hasa maeneo ya utalii anisaidie nimeianza hyo biashara ila sijapata soko la kutosha.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari! Nategemea kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa na Kwa kuanzia naanza na mmoja.naomba wale wenye uzoefu wanisaidie. Nahitaji mwenye mimba ya at least miezi mi4.nategemea kufugia dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…