Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited (CWB) ni kampuni ya muungano wa vijana wa kitanzania na kichina waishio jijini Shanghai-China.Kampuni hii iliyoanzishwa february mwaka 2012 jijini Shanghai...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina biashara yangu ya duka la nafaka,unga na mafuta ya alizeti.(food stuff) hapa moro mjini. Nauza mahindi,unga wa mahindi,(sembe & dona),mchele,maharage, korosho,karanga,ufuta, mafuta ya...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
ndugu wanaJF na hasa wenye ufahamu wa masuala ya photography. kuna business idea inanijia kichwani kuhusu photography studio kama unavyoona PhotoPoint, Creative Image. nimejaribu kufuatilia kwa...
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Wana jf ninaomba wenye uzoefu waniambie faida inapatikanaje kwa kila transaction na inachukua muda gani kuomba mpaka kupewa code au line ya uwakala na gharama zozote unazoingia ili kupata hiyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wadau napenda kufahamu upatikanaji wa viatu vya mtumba!! ambavyo viko high classic!! mwenye kufahamu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
lets say i have a business idea that 1. have a maximum of 4 month payback period -you get all your investment back in 4 month. 2. more than 250% annual returns on average 3. can be done on part...
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Habari Wana jf Naombeni kujuzwa kuhusu upande Wa biaahara ya nguo Dodoma km nlvoeleza halo juu Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watu tumezoea kudanganyana na kutokuelezana ukweli kuhusiana na biashara, tumekuwa watu wa kupeana moyo na kushauriana kila mtu afanye iashara lakini biashara au ujasiriamali sio kitu rahisi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa nini kumekuwa na hii tabia ya kila mfanyabiashara anajiita mjasiliamali? Labda tunashindwa kutofautisha haya maneno mawili ndiyo maana yamekuwa yakituchanganya na hasa walio wengi. Huwa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habarini, jamani najua kwenye jukwaa kuna watu wenye fani mbali mbali humu ndani. Mimi nina wazo la kufungua Duka la Dawa mkoani Singida. Nahitaji anaye fahamu utaratibu WA kufungua duka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nahitaji kuku chotara kwa ajili ya kufuga, anayefahamu tafadhali anipatie namba ya simu au anijulishe ni wapi pa kupata. Mimi nipo Dar.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu. Mnamo mwezi wa nne mwaka huu nilinunua mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa kutumia matakataka makavu kwa sh. 850,000 kutoka katika shirika la wafaransa liitwalo ARTI Energy...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za masiku wana jf wapendwa wangu.Baada ya miangaiko mingi na majaribio ya miradi mbalimbali hatimaye nimebahatisha kamradi, kiasi fulani kana faida kamradi kenyewe ni cha kutoa huduma ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ebwana habarini wakuu, kutokana na ugumu wa ajira nimeamua nijaribu kufungua internet cafe hapa singida mjini, vp inaweza kunilipa hii biashara kwa nyie wazoefu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jukwaa hili ndilo lilinifanya mimi niifahamu JF. wadau wamekuwa wanaleta hoja/mawazo yanayoleta msukumo chanya wa maendeleo ya mtu binafsi kwa kutoa mawazo mbalimbali ya kumwezesha mtu kupiga...
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Habarini za shughuli, Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali. Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu Nategemea...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Naombeni ushauri jamani mbolea gani ni nzuri kwenye matango na viazi mviringo ili kupata mazao mengi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za shughuli, Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali. Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu Nategemea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Kuna ndugu yangu anataka kuanzisha Biashara ya kukopesha PESA kwa Riba anataka iwe OFFICIAL so anataka kujua namna yakuisajili kampuni yake. Pia kupata LESENI utaratibu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina jogoo wakubwa wa Malawi, weusi wanauzwa. kila mmoja ni sh. 15,000/= tu. Kwa anayehitaji tuwasiliane. Niko ILEJE, MBEYA- Tanzania.:A S 103:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…