Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wana JF. Nipo dodoma mjini na nina mtaji wa 2m. Biashara gani inalipa kuifanya kwa huo mtaji? Mungu awabariki.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi.... Ama baada ya salamu, leo nina jambo langu nataka niwahusishe ndugu zangu. Ni hili suala la duka la reja reja ( la mahitaji ya kila siku ya nyumbani ), baada ya...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Heshima mbele Wanajamvi! Sisi ni vijana watatu tumeungana tukafungua na kusajiri kampuni ya Mawasiliano. 2 kati yetu ni wazoefu kabisa kwenye fani hii na wameshafanya kazi na makampuni ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wanajamvi ninaulizia kuhusu utaratibu wa kusajili jina la biashara na gharama zake na je katika Kusajili kwa sisi watu wa mikoani utaratibu ukoje au inatulazimu mpaka tufike Dar es...
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Kwa sisi tunaotegemea mvua ktk kilimo je ni zao gani litasitawi katika mvua hizi zinazonyesha?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada mwenye kujua wapi ninaweza kupata seedling trays au trei za kitalu kwa ajili ya kuoteshea mbegu za mbogamboga na matunda. Asante.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf. naomba kuuliza kwa wale wanaojuwa kuhusu biashara ya mayai ya kuku kwa bei ya jumla. naomba kujuwa bei za kununua kwa jumla na bei za kuuza kwa jumla. asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
-tunachimba visima virefu kwa kutumia machine maalum ya kisasa kwa uhakika na kwa bei nafuu. -tunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja. tutakufuata popote ulipo [dar]. mobile no: 0712...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Taa ya hatari imeanza kuwaka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wa Tanzania Asilimia kubwa ya wafanyabiashara, ( wakubwa na wadogo) wanafanya biashara Kienyeji na kikubahatisha wanafanya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
ndugu yangu unayesoma hapa, ebu bonyeza hapa upate faida http://www.perfectapp.biz/refid=95462b893a laiti kama ungeelewa faida yake wala usingesita kubonyeza nipm nikupe uhondo.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Bei ni 4.5 ila kuna punguzo piga simu namba 0766978393
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wadau,nina shamba maeneo ya Mapinga karibu na Bagamoyo lenye ukubwa wa ekari mbili,natarajia msimu huu wa kilimo kupanda mihogo,hivyo basi ninaomba mnisaidie ni mahali gani ninaweza kupata...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu wajasiria mali, nimebahatika kupata ekari 30 kwa ajili ya kilimo. Na eka tano kwa ajili ya ujenzi wa nyumba huko mashambani. Nategmea mwakani niachane na ajira nikafanye shughuli za ukulima...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Biashara pia inavitu ambavyo kila mtu anatakiwa avifuatilie ili uweze kuimanage, biashara nyingi zinafeli iwapo moja kati ya vitu hivyo vinapopungua au kukosekana hivyo basi kabla ya kuanzisha au...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Habarini nauza kuku wa kisasa Broiler kwa jumla ni tshs 5000/- mpaka 4800/= kwa kuku 100 na ni kwa rejareja ni 7500/= kwa kuku umtakaye kwa anayehitaji aniPM nami nitawasiliana naye niko dar
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni bei poa tu wadau Wangu kwa mawasiliano nicheki hii namba 0652253800 au 071680900
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei ni 4.5 ila kuna punguzo kubwa tu. Piga simu 0766978393
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wote wanaohitaji kufanyiwa wiring na masuala yote yanayohusiana na umeme nicheck kupitia 0713 190 118...naishi Mabibo Dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani watanzania wenzangu,huu ni wakati wa kufanya kazi kwa akili zetu na nguvu zetu! Mimi leo nakuarika wewe ambaye unahitaji kundikiwa mradi na mchanganuo wake wote,ushauri jinsi ya kuendesha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom