Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Natafuta Makoko yanayoanza kutaga kwa bei kati ya shiling 5,000/= na 6,000/=. Yasipungue makoko 40. Napatikana kabuku Tanga, kwa yeyote alie karibu ama aliye dar na mwenye mzigo huo wa kutosha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Habarini ya majukumu. Napenda kuwakaribisha katika EDMARKTANZANIA 1ST CROWN RECOGNITION AND CAR AWARDING CEREMONNY kumpongeza mwenzetu RED JOEL aliyefanikiwa kupatazawadi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau...nina mpango wa kufungua duka la kuuza nguo na vifaa vya watoto. sehemu ninayo ishi ni sehemu ya makazi ya watu wenye kipato cha kati na chini. pia kuna hostel ya vijana wa chuo hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina kuku kuchi wadogo wana miezi kama miwili ila ukuaji wao ni wa taratibu sana,kwa yeyote mwenye uzoefu nao naomba aniambie ndo kawaida yao kukua taratibu au hawa wangu wana matatizo?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nanunua mafla za gari ndogo, kwa ambao hawazijui, mafla zinakaa kwenye bomba linalotoa moshi wa gari ziko kama kamtungi kadogo ndani zina ungaunga.nazinunua kati ya Tsh.30,000-50,000,kwa kila...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Ujambazi kwa sasa umekuwa mkubwa sana labda kutokana na na maisha Kuwamagumu ajira hakuna kwa vijana!KILA kijana anataka awe na Nyumba nzuri gari na mke au Mme mzuri!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilianza ndoto yangu ya kumiliki shule nikiwa nimeuanza mwaka wa tatu wa masomo yangu ya degree. Wakati huo niliapply kazi ya KUFUNDISHA katika shule moja ya English medium. ELIMU ya mkuu wa shule...
9 Reactions
48 Replies
7K Views
habari zenu wana jamvi hili la ujasiriamali. kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipita JF kama visitor tuu na sio user..ila ikafika kipindi nikaamua kabisa kuwa member. My regret ni kwamba why didn't...
14 Reactions
46 Replies
5K Views
Wazima wandugu....nilikua nataman sana kuanzisha kampuni ya usafi...sasa naombeni idea yenu hii kitu inatakiwa kufanyaje...nilikua na wazo la kuisajili...kutafuta ofisi ila sijui mchakato wowote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wajasiriamali naomba mawazo yenu,nipokwenye mji mdogo nahitaji kuanzisha SUPERMAKET nipeni maujanja ilinifanikiwe mwenzenu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naomba kama kuna mtu anajua kuhusu biashara ya Alizeti na upatikanaji wa soko anielekeze nataka kujiajiri..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yoyote mwenye mahitaji ya vitunguu saumu kuanzia gunia 5 kwa mikoa ya Njombe mbeya Iringa Dar tuwasiliane....Njelekela87@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Courage Inasemekana kwamba hakuna Mjasirimali aliye fanikiwa duniani bila kuwa na courage, ndo kitu pekee kinacho weza kukupeleka katika Dunia nyingine kabisa, -Hatuweza fanikiwa katika biashara...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnisaidie mahali ntapopata soko zuri la embe dodo. ikiwezekana liwe soko la jumla ndo natumai litanilipa zaidi. embe ni za chunya.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wajasiria mali naomba kwa mfugaji wa kuku mwenye uwezo wa kusupply kuku 25-30 kila siku tuwassiliane ata kama una uwezo wa kuwa nao angalau kwa wiki anagalau mara mbili au tatu uwe uko...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Assalam Aleykum Wana Jf. Nategemea kama wajasiliamali mlifuatilia KONGAMANO kubwa la uwekezaji kanda ya kaskazini lilofanyika pale jijini Tanga Nadhani itakua busara kama ntaibua fursa...
0 Reactions
17 Replies
11K Views
Niwaite wanaharakati wapiganaji wenzangu! Nawasalimu kutoka Lupembe mkoani Njombe nikiwatakieni afya njema ! Muda mrefu kidogo nilipotea jukwaani ; lakini katika kurudi kwangu nimekutana na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi naombeni msaada wenu mnijuze nataka kuaza biashara ya kuuza vocha za jumla je niende wapi na natakiwa niwe na vigezo gani.thanx
0 Reactions
1 Replies
3K Views
shkamooni, mimi ni mfugaji wa sungura nipo dar natafuta soko kwani wamekuwa wengi/ni pm kama una hitaji
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom