Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mambo vipi wakuu. Ninaomba anayefahamu minada ya mbuzi katika mikoa ya jirani especially Tanga, Morogoro (?), na Dodoma hasa siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili anifahamishe please. Kama una...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
We're giving our freedoms away. The American experiment was about freedom. Freedom to be stupid, freedom to fail, freedom to succeed. Glenn Beck - Freedom - America - Stupid - Fail - Success...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba Lawyer /mwanasheria wa kujitegemea au aliyeajiriwa ajitokeze atakayenisaidia kuandika mikataba ya wapangaji wangu jumla wako 8 kwenye biashara yangu ya kupangisha. Naomba awe na bei nafuu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF, ninashida jamani ya mkopo wa laki tano, kwa anayejua ninaweza kupata kwa riba nafuu kidogo.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hi wana jf. Ofisi inafanya kazi,uwezo wa kuingiza pesa inao,inatakiwa kuhamishwa na kufanyiwa marekebisho zaidi. Timu ni ndogo (watu 2 tu) kulinganisha na uwezo wa ofisi. Tunahitaji mtu mmoja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, Nauliza hivi kiwandani wazo cement, wanauzaji kwa tani 1, yaani 20 bags, nina kisehemu nauza cement, nadhani nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kwanza napenda kuwapa pole watz wenzangu kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa na kampuni moja hapa Arusha lakini napenda sana niweze kujiajiri na kusaidia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa elfu hamsini wana jf?
0 Reactions
11 Replies
5K Views
WHAT IS A CONTINUOUS INK SUPPLY SYSTEM?. A continuous ink system (CIS), also known as a continuous ink supply system (CISS), a continuous flow system (CFS), an automatic ink refill system (AIRS)...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu heshima kwenu. Natumai nyote mmekua na week end nzuri kama yangu. Wakuu nahitaji gata zile za plastick.Nimeambiwa ziko gata kutoka South Afrika,Uturuki,Malaysia,China na Tanzania...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Kwa wafugaji wa kienyeji wa wanyama na ndege huko vijijini kwetu, kuna vitu au maarifa ya kienyeji ambayo huwa wanatumia, naomba tuyajadili na kujulishana pia tuonyeshane kama kweli yanafanya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima kwenu wanajamvi Tanzania tumekuwa na sera nyingi za kuendeleza kilimo cha mtanzania (mkulima mdogo mdogo) kwa miaka hamsini sasa. Lakini pamoja na sera nyingi na zenye mvuto masikioni...
5 Reactions
6 Replies
9K Views
Naona jukwaa hili linazidi kupata umaarufu. Kwa ushauri tu kuna wajasirimali wengi tu wanaokusudia kuanzisha biashara, tatizo baadhi ya bidhaa upatikanaji wake huwa mgumu na pengine gharama na...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwanza napenda kushukuru kwa msaada mkubwa ambao nimeupata na nazidi kuupata kutoka kwa members wa jukwaa hili hususani Mr elinino ambae nilifuatilia post yake "nimeamua kulima kwa mara ya pili"...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu salaam! Naomba kwa wenye ufahamu wanisaidie yafuatayo: 1. Ni maeneo gani yanalipa ukipeleka trekta la kukodi? 2. Ni kiasi gani kwa heka moja? 3. Na ni HP ngapi zinaweza kufanya kazi (2wd...
0 Reactions
20 Replies
14K Views
I know it is heady to mention such a a figure, na nikiangalia kiwango ambacho mimi mwenyewe ninaweza kuwa nacho bado in 5Million TSH kwa hivyo will come clean on my plans. Elimu has been mentioned...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji wawili tu, kama kuna anaejua breeders au wauzaji wa mules, naomba taarifa. Shamba liko nje kidogo ya DSM.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Dear all Mimi ni irrigation engineer, natafuta sana software fulani inayoitwa IRRICAD kwa ajili ya irrigation design (pressurized irrigation). Najua humu kuna kila aina ya watu. Kwa hiyo mwenye...
0 Reactions
3 Replies
581 Views
Sera hii imewanufaishaje watanzania wandugu?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai naomba msaada wenu kuku wangu wanadonoana sana sijui ni kwa nini ikiwa mchanganyiko wa chakula ni mzuri nisaidieni wanakwisha kwa kufa
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…