Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mambo vipi wanajamii! Hivi ni wapi mtu unaweza kupata mafunzo ya ujasiriamali hasa juu ya utengenezaji na ufungaji wa bidhaa ndogondogo?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
jamani walio kanda ya ziwa na mbeya bei ya mpunga ni ngapi kwa sasa? nahitaji kama gunia 100 hivi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wana JF Shamba lenye ukubwa wa ekari 6 linauzwa. Shamba hili lipo maeneo ya Msalato umbali wa km 10 kutoka katikati ya mji wa Dodoma. Shamba hili lipo karibu na uwanja mpya wa kimataifa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
rejea kichwa cha habari hapo juu ningependa kujua jinsi navyoweza kuwa mjasiriamali kwa kutumia internet
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa, Mimi ni practioner wa Microfinance kwa zaidi ya muongo mmoja, naendesha kampuni inaitwa Chakarika Credit Facility ambayo ni limited by guarantee. Kazi imekuwa ikienda vizuri sana kwa...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Sina kazi ya kuajiriwa kwa sasa, nimeamua kuacha kwa sababu ya kutovulia kufanya kazi na ndugu zetu wa Asia. Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamii. Napenda kufahamu kama Biashara ya kutengeneza na kufunga curtains majumbani na maofisini kama inalipa nzuri haga bongo, na kama kuna makampuni yapo yanafanya biashara hii kwa faida.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafikiria kutumia kaakiba kangu kununua pikipiki kwa ajili ya biashara ya bodaboda. Naomba ushauri kama ni biashara nzuri kufanya au nipige chini. Km unaona hailipi nipe ushauri wa biashara...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Salaam wakuu. Natafuta mtu wa kufanya nae potential biz ya Catering. Kama una kampuni ambayo iko DSM, Coast Region au Morogoro naomba tuwasiliane kabla ya 31st.May.2012 PM au rakeyescarl@yahoo.ie
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe unamilki internet Cafe na fasi ni hii ya kujipatia Pesa kwa njia ya sms. kwa maelezo zaidi piga namba hii: 0769436393 usibipu tafadhali
2 Reactions
6 Replies
2K Views
soko la paprika liko wapi jamani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA kawaida jamii ya wamasai ni wafugaji. Kutokana na asili yao hiyo ya ufugaji, sehemu kubwa ya maisha yao imetawaliwa na tabia ya kuhamahama toka eneo moja kwenda jingine ili kutafuta malisho...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Yanatumika pia kupikia msosi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu? Jamani natafuta watu wanaodeal na mambo ya procurement. Some sort of consultants au kampuni. Kama kuna mtu yeyote huko, please private message me. Natanguliza shukran zangu.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
habari za kazi wanajamvi. kuna mdau anatafuta mfadhili ili amuwezeshe kufanya record ya kipindi cha television kinachohusu masuala mbalimbali ya kijamii,mienendo yetu na namna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni mnisaidie kunitajia sehemu wanapouza screen za laptop aina ya sony vio. Nimetafuta bila .mafanikio
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, Nimenunua heka 50 za pori la miti,nataka kuchoma mkaa,sasa wadau naomba kujua utararibu wa kufanya ili niweze kusafirisha mkaa kutoka morogoro kuja dar,kitu gani cha kufanya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu Ninayo security ya uhakika , property with tittle deed with a potential value from a valuation report (market value & forced sales value) ninahitaji mkopo wa mtaji wa biashara, note ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"Strategy is defined as deliberate configuration of physical, extended,and generic attributes of a product to fit the needs,expected outcomes and purchasing habits and occasions of target market...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duocore 1.6ghz Memory 2GB DDR3 Hard-drive 250GB Webcam,DVD RW Window 7 HP Price: 585,000/- 1 year Hardware Warranty Available @ Crystal Computers Uhuru and Msimbazi Round About Kariakoo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom