Naomba ushauri labda sielewi vizuri somo. mimi nlidhani ili nipate mkopo niwe na businessplan,collateral, legal business, kuwa unalipa kodi, una business license etc. sasa kuna bank zingine...
Helo great thinkers.. plz saidia mimi kulikuwa na thread moja ndefu sana ya kuhusu ufugaji wa kuku za kisasa,... nimeitafuta sana sioni... SOmebody help plz
Habari wakuu!
Ninataka kusafirisha refurbished printer toka Marekani. Kwa wazoefu wanajua ilivyo shida ya kusafirisha vifurushi toka nchi za Ulaya na Marekani.
Ninaomba kama unamfahamu mtu yeyote...
Greetings JF members and visitors,
Attached are more details about the project. It is an open invitation to anyone who meets the mentioned criterias to apply.
Regards,
Kate M.
Nahitaji business partner wa kufanya nae Biashara katika Fremu yangu iliyoko maeneo ya waterfront kuelekea stesheni.
Kwa sasa nina eneo (Fremu), ila nimepungukiwa kidogo kiasi cha mtaji kwani...
Hello team,I hope this message will find you with good health,JDM Success.com is looking for business partners who will be interested in Health&Beauty Products,IT Accessories,Apple...
Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye...
wakuu poleni na kazi za ujenzi wa taifa, mie ni mfanyabiashara wa kati,ninabiashara ya duka la nguo za watoto wa siku 1 na kuendelea za kike naza kiume.sijawahi kopa benk wala sacoci yoyote...
Hi wanajamvi
Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza...
Habari zenu ndugu wapendwa,
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu...
Hello wadau
mimi ni mfanyabiashara wa kati, nnauza tikiti maji kwa bei nzury na kwa uhakika (reliable). Tikiti zangu zinakuwa za kiwango cha juu sana na hata za kiwango cha kati ukitaka utapata...
Salaam,
Nina lori (semi-trailer) flatbed linaloweza kubeba mpaka tani 30-31, natafuta mtu/kampuni yeyote iliyotayari kushirikiana katika kusafirisha mizigo/containers kwenda sehemu mbalimbali...
I hope this information will motivate you and provide you with courage when you experience ups anddowns in your career, business or entrepreneurship initiatives in particular. Not everyone who's...
Baada ya kuona usaidizi na ushauri wanaopata wenzangu ,nikaonelea ni vyema nami nipate ushauri kwa manufaa yangu. Nafikiria kufungua biashara ya books n stationery mjini songea, mwanipa ushauri...
Ndugu wajasiriamali wenzangu ningependa kufahamu mtu mwenye mtaji wa tsh 400000 (laki nne) anaweza kufanya biashara gani yenye kulipa na endelevu? Namdogo wangu anamaliza chuo kikuu na anapenda...
Wakubwa nawasalimu
Baada ya salamu naomba kuwauliza natamani kuanzisha biashara ya kuosha magari na pikipiki hapa jijini Dar es Salaam. kwa wazoefu wa biashara je aina hii ya biashara inaweza...
Habar wana Jf, mi niko dar,Nahitaj kukopa mil.5 niweze iirudisha kwa riba ya miaka miwil au mitatu,je ni taasis gan au bank gan naweza wa consult,dhamana ni hat ya nyumba yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.