Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Yoyote mwenye taarifa ambapo naweza kuanzisha biashara ya DUKA la vyakula reja reja M-PESA,tafadhali ani-PM
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina kamtaji kangu kama 5,000,000.00.Wabunifu wa biashara msaada wenu.Biashara ipi inalipa.Help please
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba ushauri labda sielewi vizuri somo. mimi nlidhani ili nipate mkopo niwe na businessplan,collateral, legal business, kuwa unalipa kodi, una business license etc. sasa kuna bank zingine...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Helo great thinkers.. plz saidia mimi kulikuwa na thread moja ndefu sana ya kuhusu ufugaji wa kuku za kisasa,... nimeitafuta sana sioni... SOmebody help plz
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu! Ninataka kusafirisha refurbished printer toka Marekani. Kwa wazoefu wanajua ilivyo shida ya kusafirisha vifurushi toka nchi za Ulaya na Marekani. Ninaomba kama unamfahamu mtu yeyote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Greetings JF members and visitors, Attached are more details about the project. It is an open invitation to anyone who meets the mentioned criterias to apply. Regards, Kate M.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji business partner wa kufanya nae Biashara katika Fremu yangu iliyoko maeneo ya waterfront kuelekea stesheni. Kwa sasa nina eneo (Fremu), ila nimepungukiwa kidogo kiasi cha mtaji kwani...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello team,I hope this message will find you with good health,JDM Success.com is looking for business partners who will be interested in Health&Beauty Products,IT Accessories,Apple...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
wakuu poleni na kazi za ujenzi wa taifa, mie ni mfanyabiashara wa kati,ninabiashara ya duka la nguo za watoto wa siku 1 na kuendelea za kike naza kiume.sijawahi kopa benk wala sacoci yoyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi wanajamvi Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Miliyonimoja nanusu mkoa wa morogoro naweza kufanyia biashara gani.ambayo itanilipa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wapendwa, Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Hello wadau mimi ni mfanyabiashara wa kati, nnauza tikiti maji kwa bei nzury na kwa uhakika (reliable). Tikiti zangu zinakuwa za kiwango cha juu sana na hata za kiwango cha kati ukitaka utapata...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Salaam, Nina lori (semi-trailer) flatbed linaloweza kubeba mpaka tani 30-31, natafuta mtu/kampuni yeyote iliyotayari kushirikiana katika kusafirisha mizigo/containers kwenda sehemu mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
I hope this information will motivate you and provide you with courage when you experience ups anddowns in your career, business or entrepreneurship initiatives in particular. Not everyone who's...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya kuona usaidizi na ushauri wanaopata wenzangu ,nikaonelea ni vyema nami nipate ushauri kwa manufaa yangu. Nafikiria kufungua biashara ya books n stationery mjini songea, mwanipa ushauri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wajasiriamali wenzangu ningependa kufahamu mtu mwenye mtaji wa tsh 400000 (laki nne) anaweza kufanya biashara gani yenye kulipa na endelevu? Namdogo wangu anamaliza chuo kikuu na anapenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa nawasalimu Baada ya salamu naomba kuwauliza natamani kuanzisha biashara ya kuosha magari na pikipiki hapa jijini Dar es Salaam. kwa wazoefu wa biashara je aina hii ya biashara inaweza...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habar wana Jf, mi niko dar,Nahitaj kukopa mil.5 niweze iirudisha kwa riba ya miaka miwil au mitatu,je ni taasis gan au bank gan naweza wa consult,dhamana ni hat ya nyumba yangu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom