Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mimi ni mkulima wa strawberry na nmeanza kilimo Cha strawberry tangu January mwaka huu Ila bado sjafanikiwa kuona MATUNDA sjui ni wap nakosea Ila nmejitahidi kufuatilia bado sjapata ufumbuzi wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja? Wakuu leo asubuhi bandani kwa kuku nilisikia kuku wakirukaruka, kelele kama wanapigana na vurugu, baada ya kufungua Banda...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Habarini za majukumu wanajamvi. Ningependa kujuzwa na kupewa ushauri wa aina bora (brand names)za zana za kilimo kama vile matrekta, mashine za kukamulia alizeti, karanga nakukoboa mpunga na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini Wadau, Ninahitaji Mtu wa kulima nae kwa Share katika Eneo la Arusha mjini lenye ukubwa wa Ekari 1 na nusu. Eneo ni zuri sana lenye rutuba na jirani kuna Mto unaopitisha maji. Pia pumb...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Wote tunajua shughuli kuu za kiuchumi Kama Kanda ya Ziwa ni Uvuvi, kilimo, ufugaji, madini. Kanda ya Kaskazini Kuna Kahawa, Mahindi, Migomba Kanda ya Kati Wanalima Zaidi Alizeti, Karanga, Zabibu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Miaka ya karibuni vijana wengi wamejiingiza katika biashara ya ufugaji wa Mbwa wa kisasa kwa kuimport mbwa nje kama Germany shepherds long coat, Boerbull, Caucasian shepherd, Rottweiler's na...
6 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam wanabodi wenzangu. Naomba kujua mishahara ya watalaamu wa mifugo, hasa animal production kwa ngazi za cheti, diploma na degree. Hii mishahara iwe kwa scale za serikali ili nitumie kama...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Nataka kulima nyanya baada ya masika maeneo ya zinga bagamoyo wataalam naombeni muongozo wapi nitapata soko la nyanya kabla sijaanza, nataka nianze na Heka moja, Huwa nalima kama bustani tu...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Nina stock ya kutosha ya mbegu ya pilipili mwendokasi Imechambuliwa vizuri na inaota vizuri sana Zina rangi ya njano, ni OPV siyo Hybrid. Piga/sms/Whatsapp 0752042670
4 Reactions
3 Replies
784 Views
Habari za jioni wana JF, nimejaribu kusearch kama kuna mada yoyote humu ndani inazungumzia project ya unenepeshaji wa ng'ombe wa asili kisha kuwauza, ili nipitie maoni lakini hakuna popote...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari, Ninahitaji mbegu F2 za mbogamboga zifuatazo. CARROTS SPINACH (Fordhook Giant) SUKUMAWIKI (Collards Green) BEETROOTS Nachukua mpaka kilo 50 kwa kila aina ya mbegu 0752042670
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Ndugu wanaJF poleni na majukumu. Vijana wengi huwa tunaumiza sana vichwa tena mara pengine tunashindwa kufanya maamuzi sahihi. Nakumbuka kunawosia nilipewaga na mzee mmoja lakini ukiangalia...
1 Reactions
5 Replies
775 Views
Kwema wakuu Je, ninaweza kuvuna nyanya kabla hazijaiva? Ili nipeleke sokoni zisiharibike, na zinachukua muda gani hadi kuiva zikiwa nje, ningependa kujua jinsi ya kuhifadhi.
0 Reactions
2 Replies
545 Views
Kwa ambao tumelima kiteto msimu huu naomba tujuone Ili kurahisisha kupaongeza mashamba na uzoefu zaidi.
8 Reactions
47 Replies
7K Views
Wakuu Wa Kilimo habari! Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima...
7 Reactions
79 Replies
22K Views
Wadau wa Kilimo na wenyeji wa kanda ya ziwa Mwanza n.k. Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza au jirani na mkoa wa Mwanza. Pia sehemu...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari za mchana, Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono. Hivyo...
4 Reactions
19 Replies
5K Views
Kwa haraka haraka nimeambiwa hiki kilimo kina lipa. Naambiwa shina Moja la Nazi linatoa Nazi 15 hadi 20 kila baada ya miezi 2. Ukiwa na mashina 1,000 una Nazi 15,000. Ukiuza kwa 600 kila Nazi (...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Nimeangalia na kusona sehemu ya maandiko kuhusu mmea aina ya Canola au Rapeseed, ambao unaweza kuzalisha mafuta ya Kula zaidi ya Alizeti. Wenzetu Kenya wenye mashamba makubwa wameanza kulima...
7 Reactions
89 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…