Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Natamani sana mabibi na mabwana shamba tuanzishe chama chetu. Ukiangalia wafanyakazi wenzetu kwenye wizara zingine wana vyama vyao vyenye nguvu kuwatetea katika mambo mbalimbali ya maslahi yao...
2 Reactions
8 Replies
703 Views
Habari ndugu zangu, Naomba mwenye ufahamu wa formula ya kuchanganya cha kula cha kuku wa mayai wenye miezi 2 hadi 4. Naomba nitumieni.
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari Kuna mbegu za cannola kila 27 na hizi zimesalia baada ya wadau kuchukua kilo 45. Sasa basi kama unahitaji wasiliana na mimi now na 1 kg 24, 000/ Kama una plan kulima kiasi chukua sasa...
1 Reactions
2 Replies
386 Views
Wadau naomba kujua kwa utaalam wenu mti wa parachichi wa kiasili unachukua muda gani mpaka kuja kuzaa matunda.
1 Reactions
4 Replies
726 Views
[emoji271]Grafting na budding ni mbinu za bustani (Horticultural techniques) ambazo zinatumika kuunganisha sehemu za mimea miwili au zaidi ili zikue kama mmea mmoja. [emoji271] Vyanzo mbalimbali...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Kama uko tayari kuingia SHAMBA msimu huu wa KILIMO karibu tuunganishe nguvu kazi,twende tukampige mkoloni Kule Katavi. Kama na wewe uko tayari na unayo nia kutoka moyoni na...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna mdau kanishauri niwe nawapa ngano
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari. Kama wewe ni mkazi ama umewahi ishi miji ya mwambao mwa ziwa Tanganyika utajionea anina nyingi sana ya samaki wakiwamo Migebuka,kuhe,dagaa kigoma n.k. Ukiachilia mbali dagaa wa...
11 Reactions
41 Replies
6K Views
"Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, ametangaza rasmi kurejea kwa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kama Nane Nane kwa mwaka 2022. Waziri Bashe amesema baada ya timu ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Serikali imetoa mbei mpya ya mbolea yenye ruzuku. DAO kutoka 131,676 hadi 70,000 Urea..................124,724 ...........70,000 CAN ...................108,156............60,000...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina plan ya kufuga kuku natafuta mtama! Shida ni wa sokoni kuwa na bei ghari!! Je, napata wap, mtama kwa bei rahisi mwingi!! Gunia au madebe
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kufahamu bei ya gunia la Dengu kwa wanaolima zao Hilo
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ndugu wakulima wenzangu tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa. Tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa, utumiaji wa mafuta, gharama za spea, Pia hayo matrekta used...
0 Reactions
79 Replies
33K Views
Asparugus ni mboga ghari sana, kwa sisi kajamba nani sio rahisi tuzimudu, Lazima uwe vizuri kuweza kula hizi mboga. Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kichwa cha habari cha husika Hapa inajumuisha -Sehemu yenye kibali -Usalama -Uhakika wa maji -Isiyo na migogoro
1 Reactions
3 Replies
981 Views
Zao hili lilianza kuingia nchini kutoka Uganda mnamo mwaka 1954 kupitia kwa mkulima mmoja wa kijiji cha Kiilima wilaya ya Bukoba Vijijini. UTANGULIZI Zao la vanilla ni moja ya zao la viungo...
9 Reactions
174 Replies
94K Views
Nafuga kuku wa kienyeji Jkisema ulishe mboga za majani za sokoni Utajikuta unapata hasara kubwa sana kwanza -Wanakua taratibu sana ( hivo gharama kuwakuzA) -Soko la kusua sua -Bei zake si kubwa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu wafugaji wenzangu,hivi ng'ombe wa kienyeji akila na kushiba vizuri apate na maji safi ya kunywa ana uwezo wa kutoa lita ngapi?? Nawasilisha
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habar wanajamiii.tuna tani zaidi ya 30 za mbaazi tunatafuta soko .Ni wapi tunaweza kuuza Kama kuna mtu anamjua mnunuzi basi asisite kuwasiliana nami na mchakato kuanza punde.
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wachina tayari wamekamata fursa na pia Nchini kwao kuna fursa ya soko kubwa. Msije kusema hamkuonyeshwa👇
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom