Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amepokea malalamiko 13 ya wavuvi wa samaki katika Ziwa Victoria ikiwemo utitiri wa kodi pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Imeandikwa na Dr.Yahaya Msangi. SHAMBA LA KOROSHO JIMBO LA KERALA INDIA: KOROSHO TAMU LAKINIII MM,…..MADHARA YAKE NI MAKUBWA! Jimboni Kerala kuna shamba la kampuni ya Kasaragond Cashew...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi ghala za taifa kwa sasa zina chakula cha kutosha siku ngapi?🧐
2 Reactions
0 Replies
392 Views
Habarini za leo, Nataka nipande miti ya mvule kwenye shamba langu ili watoto waje kufaidi matunda uko mbeleni. Nipo mkoa wa Mara uku, kwenye wilaya ambayo mvua sio za uhakika na ardhi ina joto...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni mkulima kwa Sasa nipo dar nahitaji kufaham mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma na maeneo yanapopatikana kwa hapa Dar. Ni hayo tuu ndugu zangu
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wataalamu wa kilimo na mifugo. Niende kwenye mada chap kwa haraka bila kupoteza muda, kama title linavyojieleza hapo juu; ni kweli natafuta hao wataalamu nifanye nao kazi ya kusaidia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari! Kuna zao LA viungo linaitwa Saffron linalimwa zaidi Asia naomba kujua kama kuna sehemu au MTU yeyote analima hapa Tanzania.
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Habari ndungu, Mimi nimfugaji wa nguruwe ni nimekuwa nikipata shida kwenye kunyanganya chakula kizuri cha ziada kwa ajiri ya nguruwe wangu na sitaki kuwalisha mabaki ya chakula. Kwa anayejua...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimekuwa na kawaida ya kutembelea vijiji mbali mbali, juzi nilikuwa Mufindi, nikakutana na Wachina kijijini Mapanda wanatafuta miti kwa ajili ya fenicha kiwandani kwao. Siku moja nilikuwa...
12 Reactions
45 Replies
9K Views
Msaada kwa anayejua zinapopatikana mbegu za maua kwaajili ya kupendezesha nyumbani nipo Dar Es Salaam Tegeta msaada tafadhalii
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba kufahamishwa mbinu mbalimbali za kudhibiti wezi wa mifugo shambani.
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wakuu, Natumai hamjambo nyote lengo langu ni kutaka kujua maduka wanayoza dawa za mifugo kwa Bei ya jumla Dar es Salaam.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Je kuchanganya kuku na bata pamoja kuna madhara gani katika ufugaji
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Suruhisho la kuku anayedonoa vifaranga na kuviua kabisa
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Natamani kujua magonjwa ya kuku, naombeni msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
403 Views
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA HAUJAANZA KUFUGA KUKU KIBIASHARA 1. AVAILABILITY (uwepo wako) Kabla ya kuanza ufugaji wa kuku kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karbu katika mradi...
8 Reactions
21 Replies
9K Views
Mambo vp Wadau wa ufugaji. Nimevutiwa sana una ufugaji wa awa kondoo aina ya Dorper weupe ila kuanzia kichwan wana rangi nyeusi nitapata wapi na bei zake wanauzawaje ?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari kwa wote. Nimeliona tangazo la wizara toka kwa Mh. Mashimba Ndaki , ni fursa nzuri kwa vijana japo wigo umebanwa kidogo maana wamepewa wahitimu wa mafunzo ya mifugo kwa ngazi ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo Njombe vijijini (Kata ya Ikondo) ambako mazao yanakubali bila aina yoyote ya mbolea. Ipi mbegu bora ya alizeti yenye mavuno mengi, na makadrio ya gharama ya uendeshaji (running cost) up to...
2 Reactions
18 Replies
27K Views
Habari wakulima na wafugaji, naomba kuuliza kwa wakulima, je inafaa ķurudia kupanda mbegu za mahindi za hybrid ambazo umeshazitumia? Mfano kwenye mvua za Masika umèpanda mbegu za hybrid, halafu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom