Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari wakulima, mimi naomba kupata mawazo chanya juu ya kilimo cha tumbaku hasa kwa mkoa wa mbeya wilayani chunya maana nimeelekezwa huko kilimo kinakubali. Kwa wazoefu na hili zao naomba uzoefu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za leo, Ntaomba kufahamishwa kuhusu Hawa Bata,nataka kuwafuga kwa kweli. Huwa naaikia wanataga mayai mawili tu kwa mwaka. Kama Kuna taarifa nyingine au kuna mtu anawafuga, mwenye uzoefu...
7 Reactions
53 Replies
8K Views
Wakuu haya maonyesho yalisogezwa mbele nazani kwa sababu tunajua, so yanaanza 26 mwezi huu, so wanao enda wanyoshe miko juu tuone tunafanyaje. Kuondokea ni Arusha asubuhi saa 10 tunachukua Noha...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Mzazi wangu kalima matikiti hekari 5. Ni kilimo cha umwagiliaji. Hakushirikisha mtu yoyote. Kulima, kununua mbegu, gharama za mafuta kuvutia maji katumia zaidi ya 20,000,000. Na ni Mara ya kwanza...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari wadau. Embu wajuzi wa haya maeneo tupeane uzoefu katika biashara ya mazao ya kilimo na mifugo lengo ni 1. kujenga rice and maize processing mills na ufugaji kuku wa kienyeji. AU 2. Food...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
ndugu zangu wana JF nimefuatilia mijadala mbali mbali juu ya bei za nafaka kupanda, ila watu wana mitazamo tofauti tofauti kama ifuatavyo 1. kuna wanaosema kwa sasa wakulima wananufaika kwani bei...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Mboji ni aina ya mbolea ya asili yenye rangi nyeusi kahawia na harufu nzuri ya kidongo ambayo hutokana na kuoza kwa mchanganyiko wa masalia ya mimea,mazao au matunda, kunakosababishwa na vijidudu...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu , pole na hongereni na weekend ! Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa ekari moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi...
58 Reactions
211 Replies
46K Views
Hello! Natafuta mtu anayefanya au kuniconnect na wakulima wakubwa na wa saizi ya kati sehemu yoyote Tanzania wanaojihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali! Ikiwemo Parachichi, Maembe, Pilipili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo mkoa wa Tabora kwa kipindi cha takriban miaka 10 sasa. Nimebaini wananchi wanalima sana zao la Tumbaku kila mwaka na wanalipwa vizuri tu lakini ukiangalia mambo ya maendeleo kwa wakulima...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kujua wapi wanalima Mtama, Uwele na ulezi kwa wingi?
2 Reactions
7 Replies
940 Views
Nimekuwa nikitafakari kitu cha kuwekeza kwenye shamba ambaloo liko sehemu ambayo ni remote kidogo.yaani watu bado hawaishi wengi,na ningependa kufaanya kkilimo.kwa muda wa kama miezi...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habarini wadau wa hapa. Rejea kichwa cha habari hapo juu natafuta wanunuzi wa jumla wa zao la mbaazi nimelima Morogoro. Kilo nauza 2000 karibuni kwa anayehitaji au anaye mtu anayehitaji mbaazi...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Naomba kuuliza, je, banda la kuku wa kienyeji na chotara linahitaji madirisha makubwa sana au ya kawaida tu? Na katika madirisha hayo, yakiwa wazi halafu kipindi cha masika mvua ya upepo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza Mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara na Wilaya ya Tunduru hatujazoea mvua za vuli na tunategemea Sana korosho zenye kuhimili joto. Sasa msimu huu sijui itakuwaje maana mvua ya maembe imeanza...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Majuzi nilienda kununua mbolea kwenye Kampuni ya mbolea ETG. Nikaambiwa, mbolea zote zimeandikwa RUZUKU. Hakuna nafasi ya kupata mbolea kwa njia nyingine yoyote. Ikumbukwe kwamba, wapo wakulima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mwenye kujua changamoto za ufugaji wa kuku wa Mayai na namna kuzikwepa anipe muongozo kidogo kwasababu kuna jamaa mmoja alinisimulia juu juu tu kuhusu ufugaji huo akidai nikiwa na kuku 300...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za majukumu wanajamvi, Mbwa wangu wamekua na changamoto ya kupoteza afya ikiambatana kunyonyoka manyoya na kupoteza uwezo wa kuona kufikia hatua hadi anajigonga sehem kwa kutoona. Kuna...
4 Reactions
45 Replies
10K Views
UBORA WA MBEGU YAKO NDIO UNAAMUA UBORA WA MAVUNO YAKO MBEGU YA TO 135 F1 Sifa Kuu 1. Ina matunda Makubwa na Magumu. 2. Inazaa Sana....Hadi kg 10 kwa mmea mmoja ikitunzwa vizuri 3. Inastahimili...
5 Reactions
28 Replies
15K Views
Back
Top Bottom