Wataalamu wa kilimo cha Matunda naomba kujua ni miti ipi ya matunda ambayo hata nikipanda karibu na Fence haitaharibu ukuta kwa maana ya mizizi yake kusambaa sana kwenda kupasua ukuta
Habari wana JF,
Nimekuwa nikijaribu sana kuweza kuotesha mazao mbalimbali katika bustani yangu Salasala hii yote ni kutaka kujifunza zaidi kwasababu ni kazi nayoipenda sana.
Zoezi 1
Nilijaribu...
Habarini watu wa nguvu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eti ng'ombe wa maziwa anaweza akawa anauzwa shilingi ngapi na naweza kumpata wapi (mimi nipo Morogoro), vipi kuhusu uzalishaji wa...
Napenda kuwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo siyo mwandishi mzuri ila napenda ku-share na nyie Watanzania wenzangu kuwa zipo furusa nyingi za uwekezaji lakini baadhi yetu...
Habar wanajukwaa hili,mimi ni mfugaji mdogo wa ng'ombe maziwa. Kutokana na changamoto ya malisho,ninauhitaji wa kuanza kutengeneza na kuhifidh malisho, lakini nimejaribu kuulizia hiki kifaa kwa...
Habari wana JF,
Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani.
NB: Wanaojua tu au aliewahi...
Habari wadau?
Naomba kufahamishwa wapi vinapatikana vifaa vya kujenga banda la greenhouse kwa bei nafuu. Pia nina hitaji la kuandaa project ya ukubwa wa robo acre.
Ninaomba kama naweza kusaidiwa...
Habari za wakati huu
Nahitaji kujua wapi nitapata vifaranga bora vya kuku wa nyama (broiler) kwa maeneo ya Dar au Pwani na bei zao zikoje.
Nikipata mawasiliano itakua nzuri zaidi.
Kontena la kwanza la futi 20 lililobeba Tani 7.5 za Korosho iliyosindikwa liliondoka Mtwara Oktoba 5, 2022, na mwezi Novemba Kontena nyingine 5 zitasafirishwa kwenda Marekani baada ya Tanzania...
Mulbery ni moja ya matunda yenye radha nzuri sana, na pia yana kazi nyingi sanakuanzia kutengeneza Juice, Jam, Ice cream na kadhalika.
Haya matunda tunayo mitaani kwetu sehemu mbali mbali na watu...
kipi kilimo kinalipa, mtazamo na ukweli ninaojua ni kilimo cha mazao ya kudumu, kahawa, korosho, parachichi, ndizi nk ni mazao machache sana yasiyo ya kudumu yanayolipa mfano viazi mviringo...
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maabara ya Vetenari Tanzania, Dk Stella Bitanyi amesema asilimia 65 ya vifo vya ng'ombe vinasababishwa na mdudu kupe (ndorobo).
Amesema mdudu huyo anayesababisha...
WADAU,
NATAFUTA TENGA ZILIZOTUMIKA (USED) ZA KUBEBEA KUKU KAMA HIYO YA KWENYE PICHA HAPO CHINI. KAMA UNAZO NAOMBA NICHECK INBOX. NAITAJI ZILIZOTUMIKA KWA UNAFUU WA BEI.
Habari Wakuu,
Mimi ni mkulima wa Miwa katika bonde la Kilombero, katika bonde hili huwa tunalima Miwa na kuuza kwa kampuni ya sukari Kilombero. Kwetu huku hili ni zao kuu la kibiashara Kama...
Mwanga wa Jua unacheza katika nafasi kubwa sana katika ukuwaji mzima wote wa mimea kuanzia nyakati za mbegu, udogo wake na mpaka nyakati zile za ukomavu wake.
Katika kuhakikisha ukuwaji wa mmea...
Kuku wameshakua wakubwa ila wanakuwa wanazubaa na kujikunyata namna hii halafu asubuhi unakuta wamekufa.. Nimepoteza kuku kama 18.
Hawafi mchana, utakuta tuu asubuhi wamekauka.
Natamani kumshauri mwanangu akasomee utaalamu wa kufuga nyuki chuo kikuu. Ninachojiuliza ni kuwa je, ni vyepesi kiasi gani au ni ngumu kiasi gani mtu kujiajiri kwenye ufugaji nyuki ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.