Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

1. Maandalizi ya pembejeo, hapa inajumuisha vitu Kama mbegu,mbolea na madawa ya wadudu. Ilikufanya kilimo kiwe chenye tija maandalizi ya pembejeo lazima yafanyike kabla ya Jambo lolote. 2...
2 Reactions
0 Replies
543 Views
Nimemtibu ngombe wangu ambaye amekuwa akiumwa MASTITIS kwa Penstrep for 10 days (injection 15 mls +intrammamary infusion 10 mls for 5 days hakupona, nikaprolong for another 5 day of the same...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Lengo langu ni kuanza na kuku 1000 lakini bado sijapata taarifa kamili za mradi wenyewe ninaotaka kuuanza mabanda ninayo kuna Mtaalam aliyakagua akayapitisha kuwa yanafaa. Taarifa ninazoomba...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
1. Videos Kuona ni Kuamini!, Shuhudia kwa Kuona kwa Macho yako, Sikia kwa Masikio yako! 2. News Story Watanzania, wamehimizwa kutumia zana bora na za kisasa za kilimo kwa kuchangamkia fursa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Tokea Awamu hii iingie Madarakani naona imeamua kuwachia wakulima hasa wa nafaka wanufaike, kila siku ukienda sokoni bei ya nafaka iko juu, kwani mipaka imefunguliwa na ukichanganya na Athari za...
2 Reactions
12 Replies
887 Views
Wakuu kama mnavyoona Chakula cha kuku kimepanda bei tena finisher ya backbone nilikuwa nanunua elfu 78,000 ila leo nimeambiwa 81,000 na bado kuku sokoni biashara ipo vibaya yaan inanilazimu hawa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimemaliza chuo narudi kijijini nakutana na yaleyale, nikaacha kazi na kuingia kwenye tech nikiamini tech itatatua matatizo haya mpaka kilimo, nakutana na tech Ecosystems yenye maneno mengi...
20 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam wakuu! Naombeni msaada wenu ni vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa unga(sembe + dona). wenye udhoefu naombeni mnijuze aina bora ya mashine, wapi naweza pata...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Je, ni lazima kuwa na banda ili kuanza ufugaji kuku? Ideas zenu wandugu[emoji115]
0 Reactions
5 Replies
656 Views
Habari wadau? Naomba kuuliza, je, inawezekana kuwafuga kuku chotara na kuku wa kienyeji kwa kuwachanganya katika banda moja? Yaani, unakuwa na banda moja la kuku hao (kienyeji + chotara) ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hellow wakuu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, muhitimu wa bachelor degree ya Agronomy kutoka SUA, baada ya masomo yangu nimewahi kufanya kazi kama field officer katka project ya...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Ningependa kufahamu kama kuna mtu anafahamu taasisi ya kiserikali au kampuni binafsi inayokodisha screen house kama unafahamu naomba unijulishe. Sent from my SM-A025F using...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Salama wadau, Ninahitaji kondoo aina ya Red Maasai kwa ajili ya kufuga mwenye uelewa wa wapi naweza nikapata na bei yake anisaidie.
1 Reactions
5 Replies
939 Views
Wanabodi, Naomba msaada kufahamu wataalam wa kupandisha nguruwe kwa njia ya mrija waliopo Dar.
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Hello wana JF Wale wafugaji wazoefu wa kuku wa kienyeji, mliowahi kufuga kuku hawa na wewe unaeendelea kufuga; najua wewe ni mbunifu sana! Hebu naomba tushirikishane namna/mbinu ya kutotolesha...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakuu salaam Sana, Baada ya kuchoshwa na ajira nikaamua nirekebishe maBanda nianze kufuga Hawa kuku wa week nne (broilers) ila Sasa nimekuja kukwama baada ya kusaka vigaranga bila mafanikio na...
7 Reactions
80 Replies
12K Views
Habari za wakati huu waungwana! Mbwa ni mfugo safi, muhimu sana, askari mbadala. kila mtu yampasa afuge mbwa.. Mimi napenda sana mifugo, Huyu mnyama mlinzi bora (mbwa) nampa kipaumbele sana...
2 Reactions
3 Replies
457 Views
Heshima kwenu ndugu zangu wa jf. Nije moja kwa moja kwenye mada. Nategemea kukusanya Soya zipatazo tani 20 na kuendelea. Mwenye kujua soko lake la uhakika naomba anijuze ndugu zangu. Natanguliza...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kigoma wanaishije lakini? Nimeshuhudia kupitia ITV habari Wakulima wanalalamikia mbolea ya Ruzuku wanaifuata mjini na wakifika wanakaa foleni zaidi ya Siku tatu ndio unauziwa Ndio najiuliza...
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Jembe halimtupi mkulima. Huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu Tz, lakini mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake. Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga Bahi hekari 5, japo nilikodi...
32 Reactions
115 Replies
30K Views
Back
Top Bottom