Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Niameanza zalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu ya kula tu, kwa kuanzia, Cricket ni moja ya Edble Insects na Asia wanaliwa sana ikiwa na pamoja na ku export Ulaya. Cricket kwa radha ni sawa...
7 Reactions
77 Replies
3K Views
Wasalaam. Binafsi ningependa kupata ufafanuzi juu ya matumizi ya mbolea za asili kama samadi ambayo ninaweza nikaipata kupitia mifugo inayopatikana katika eneo langu kama vile ng'ombe, mbuzi na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutoka Hong Kong, mfanyakazi wa machinjio amepoteza maisha wakati akijaribu kumchinja nguruwe, Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror. Mchinjaji huyo mwenye umri wa miaka 61 alimshtua nguruwe kwa...
1 Reactions
7 Replies
728 Views
Mavuno mazuri ya machungwa yamepatikana mkoani Hunan, China, na watangazaji wanauza bidhaa hizo moja kwa moja kwenye mtandao ili kuwasaidia wakulima kuongeza mapato yao.
1 Reactions
2 Replies
581 Views
Hii ina Inspire sana, na Kiongozi kama huyu akifuatwa na wakulima wakwamwambia kwamba Bei za vyakula vya mifugo ziko juu, anaelewa wanacho manisha.
16 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wanajukwaa. Ninataka kufanya ufugaji wa ng'ombe wenye tija ila niko njia panda kuhusu wapi kuna faida zaidi kati ya kufuga ng'ombe dume au majike. Nilihitaji kuanza na ndama...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ninayo furaha kuwafahamisha kwamba nimeweza fanya kazi na member kadhaa wa Jamiiforums na ambao sio jf members( ila ni kwa kupitia jukwaa hili walinifahamu),waishio mikoa tofauti tofauti na mmoja...
2 Reactions
59 Replies
9K Views
Habari wakuu, nanshukuru mungu nimenunua kuku wanne wa miezi mitatu shiling 5000 kila moja nategemea kila mwezi kuongeza wengine kumi.malengo yangu nataka niwe nakuku 20 wa mayai. Nimetengeza...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wana jamii, Naomba mnishauri, mimi ni mfanyakazi serikalini. Muda mrefu nafikiria biashara ya kufanya lakini nashindwa. Sasa hivi nimeamua kuanza kufuga kuku chotara. Nataka kununua kuku...
5 Reactions
46 Replies
9K Views
Habari zenu wafugaji, mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji. hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa...
10 Reactions
140 Replies
7K Views
Wadau, Nikiwa nahangaika kupata materials ya lishe kwa ajili ya shangazi yangu mwenye kisukari. Nilizunguka soko la mbuyuni Moshi kila kona kutafuta mbegu za maboga sehemu moja nilienda bei Kg...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Kwa wafugaji wa mbwa naombeni ushauri nitumie sumu (dawa) gani kupambana na viroboto Nimetumia kwa nyakati tofauti na kwa ushauri wa watu mbalimbali dawa kama ticks fix, alpha dip, dawa unga ya...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu naomba maarifa ya jinsi ya kuwazuia vicheche maana wanaingia bandani kwa kuku wanakula mayai. Mahali ninapoishi kuna uzio wa senyeng'e so wanaingia mahali kuku hutaga na kuchukua mayai...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa cha habari. Nina vimahindi vyangu kama robo heka hiv vina kama mwezi hivi.Ila wadudu wanavishambulia hatari sana.mwenye uzoefu wa daqa ya kutibu hili( kama kuna njia za asili za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kampuni ya Blueband ya Kenya ambauo ina product yao maarufu ya Margarine ya kupaka kwa mikate kwa sasa wana zalisha pia mafuta ya kula yatokanayo na Canola. Wamekuwa wanapata Canola kutoka kwa...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii , nimekuja na fursa hii mpya nahitaji kilo 200 za iliki kwa mkulima na kilo 100 za vanilla kwa mkulima nitakuja kununua shambani kwako malipo no cash tafadhali nitafute kwa...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
HERI YA MWAKA MPYA. Ndugu zangu wataalam wa kilimo,hivi kuna utaalamu wowote unaweza kufanywa kwenye mti ili mti usizae matunda? Nauliza hivi kwa sababu kuna sehemu nimepanda miti ni mizuri ila...
1 Reactions
12 Replies
933 Views
Wanajamvi naomba kujuzwa juu ya KILIMO CHA MTAMA tangu maandalizi ya shamba hadi uvumaji kwa hekari. Maeneo gani hasa KILIMO hili ni kizuri, masoko na usimamizi. Karibuni wataalamu mtusaidie
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku moja nilikaribishwa na rafiki yangu mzungu kwake,nilipofika kwake nikakuta wageni wengi waliokuja kujumuika kwake. Mambo yakaanzia hapa baada ya kujitambulisha kuwa na fanyabiashara na wazazi...
5 Reactions
7 Replies
998 Views
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, kutokana na hali ya hewa kubadilika na mvua kuwa chache nimeona ni bora tupeane updates za maendeleo ya Mazao hapa nchini ili watu wajipange kwa kununua Mazao...
7 Reactions
114 Replies
14K Views
Back
Top Bottom