Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

CULLING ni kitendo cha kumtambua kuku asiyetaga au asiyezalisha na kumuondoa kwenye kundi la kuku wako wa mayai kwa kumchinja, kumuuza au kwa matumizi mengine ya nyumbani. Kwanini ufanye...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habai, Poleni na kazi wapendwa, Naomba anayejua bei ya incubator au anauza incubator ndogo ya mayai 30 naomba tuwasiliane Nipo morogoro mie. Shukrani.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, Naomba kuuliza kuna mtu ameniambia kuwa kama mtu anataka kufanya kilimo cha mikorosho Mkoa wa Manyara ni sahihi. Je, kuna ukweli juu ya hili jambo?
1 Reactions
3 Replies
707 Views
Wakuu wangu nashida na sumu kali ya kuulia mbwa koko wanao zurura hovyo. Wamenilitea madhara ya kula kuku na mayai pindi nikichelewa kufunga banda la kuku. Na hata wamejeruhi watu kadhaa mtaani...
2 Reactions
11 Replies
924 Views
Wakuu naomba kwa aliyewahi tumia hii mashine ya kupandia mazao anipe uzoefu kuhusu ubora(uimara) wake,urahisi wa kutumia na mazao yanayotumika kupandia kwa ujumla.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mambo vp ndugu zangu, ebwana ndugu yenu nmerudi tena ili tuendelee kupeana elimu kuhusu maswala mbali mbali yenye manufaa. Leo nataka nikueleze maajabu nilioyashuhudia kwenye ufugaji wa Mbuzi wa...
21 Reactions
264 Replies
95K Views
Nipo Dar-es-salaam Nahitaji KUWA broker wa mpunga .. Kununua mazao ya mpunga kati ya morogoro au mbeya. Nahitaji kupata mchanganuo nawezaje Kuanza biasharaa hii ya kununua zao la mpunga kuweka...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Binafsi kilomo kwangu kipo damuni hio inatokana kwanza Mimi ni mzaliwa wa morogoro lakini kubwa zaidi ni mtoto wa mkulima lakini hio haijanifanya kuwa mkulima Bora. So nipo...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Iliki ni moja kati ya mazao ambayo yanatumika sana karibia kila siku kwenye matumizi ya nyumbani,utumika kama viungo kwenye chakula na pia utumika kama tiba ya magonjwa mbalimbali.na pia ni mmea...
0 Reactions
367 Replies
140K Views
Habari. Mkoa gani Tz linalimwa zao la Almonds? Mie ni mtumiaji sana wazo kama dawa ila natatizwa na uaghali(bei) kwa hapa Dsm.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza shamba langu zuri la umwagiliaji lipo wilaya ya Simanjiro, msitu wa tembo - Londoto. Shamba ni nzuri sana lililojaa rutuba, karibu sana kwa yeyote anayehitaji, bei ni mil 60 mazungumzo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF.Kwanza kabisa mimi sikuwepo wakati vita ya Kagera(1978-1979).Nilikuwa bado sijazaliwa.Lakini kupitia kutazama mikanda ya ya video ya Vita ya Kagera iliyopo YouTube na kwenye CD...
0 Reactions
1 Replies
447 Views
Hellow njoo nikuuzie UDUVI kwa bei nafuu kiasi chochote unachotaka ukatengeneze chakula cha KUKU piga bei nafuu kabisa ok MANZESE chap UDUVI UDUVI.. PIA NAUZA JUMLA KWA WAUZAJI Nichek PM Chap bei...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau naombeni ushauri katika uwekezaji katika kilimo cha zabibu, nina eka 2.5 maeneo ya Bihawana- Dodoma nataka kutumbukiza mpunga nijaribu bahati yangu naombeni ushauri wa kitaalamu nijipange na...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mnamo mwezi wa 12/2018 na Januari 2019 niliingia kwenye kilimo cha Nyanya. Nikiri kua nilikua sina maarifa wala uzoefu wowote kweny kilimo cha nyanya. Kuna rafiki yangu mmoja ndo alinishauri na...
16 Reactions
49 Replies
20K Views
Nimeanza uzalishaji wa nguruwe wa biashara! nitakuwa nauza kadiri ya mahitaji ya mteja, ninafuga kibiashara! nitahitaji wanunuzi wa mabucha na wafugaji, now niko kwenye uzalizaji nahitaji...
11 Reactions
61 Replies
14K Views
Waziri wa Kilimo mh Bashe amesema Tanzania haiwezi kuiiga Kenya kutumia mbegu za GMO Bashe amesema utafiti waliofanya kwenye zao la Pamba waligundua mbegu zetu zinazalisha mara mbili ya uwezo wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
KANUNI KABLA YA KUATAMISHA. 1. Yai liwe limetagwa na kuku aliyepandwa Na jogoo. 2. Yai lisiwe na ufa au mpasuko wowote. 3. Yai liwe na shape inayoeleweka na sio Lililo pinda pinda. 4. Ganda la yai...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari za mida hii? I hope ni wazima.. Ningependa kufahamu namna ya kushughulika na zao tajwa hapo juu.. mahitaji yake, utunzaji mpaka hatua za uvunaji. Kwa anaefahamu naomba ashushe ujuzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Binafsi naungana na Huyu jamaa. 1. Mbegu za asili zimepotea. 2. Zamami kipindi cha kilimo mbegu tulichota kwenye magala yetu. 3. Mbegu za kisasa huwezi kureplant ukishaipanda ndo imetoka hiyo...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom