Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Niite Trapet Ni mvulana 25miaka Ningependa kupata marafiki hapa wakike na wakiume pia.
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Mie nami ndio kwanza nimejiunga katika Jf kwa mara ya kwanza, napenda kuwa na narafiki kutoka kona zote na wa jinsia zote, tubadilishane mawazo.[emoji124]
0 Reactions
3 Replies
521 Views
wana jamii forum mie ni mgeni humu naomba mnikaribishe na bila shaka naamini ntafaidika na mengi ya elimu burudani na makala nyingi za humu natanguliza shukrani zangu
6 Reactions
134 Replies
7K Views
......am glad to join the jf family,.....only one phrase,.....the more yu fail,the more yu get experience en create more opportunies to win...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wana JF, siyo mgeni sana, ila kipindi cha nyuma kama nimepuuzia sana kutumia mtandao huu. sasa nimerudi kwa kishindo, nipokeeni wana Jf wenzangu.
0 Reactions
9 Replies
983 Views
hellow wana jamii forum
0 Reactions
3 Replies
604 Views
nadhani minishakaribia mengine tutaelezana mbele ya safari
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za Asubuhi Ndugu zangu, mimi ni Mgeni katika hii forum Naitwa Jeff kutoka Mbulu-Manyara. wewe je?
2 Reactions
121 Replies
6K Views
Jina langu sio laziiima sana ila ndo nishaingia sasa jf. Kama hutaki basi poa.
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Mimi ni mgeni japo sio sana, ila nimeingia rasmi na nimeshadodo UZI! RIWAYA:Malaika au shetani
0 Reactions
3 Replies
577 Views
Wana jf mko swalama?
0 Reactions
2 Replies
542 Views
hello!!Greetings
0 Reactions
3 Replies
750 Views
Hatimaye nimeingia ndani ya mjengo mnipe ushirikiano wadau ili nishirikiane nanyi kile kidogo ninachokijua. Ahsanteni na usiku mwema.
3 Reactions
20 Replies
2K Views
0 Reactions
6 Replies
658 Views
Natafuta ndugu ,jamaa na marafiki kubadilishana mawazo
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Napenda kujitambulisha kwa kila mwana Jf kuwa sasa utapata huduma ya maombezi na ushauri kupitia Pm, huduma hii itakuwa bure hivyo kama unashida ya kiroho na kimwili usisite kuja pm ili upate...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Za huku jamvini wadau..Naitwa Beast Mzee, Mgeni mpya kabisa...natumaini nitapata mengi humu na mijadala ya hoja kuntu..asanteni
0 Reactions
5 Replies
954 Views
Hi naomba mnikaribishe Kwa upendo wana Jf
0 Reactions
5 Replies
679 Views
Hodi jamani namm pia nimgeni etie nategemea kujifunza zaidi
1 Reactions
11 Replies
798 Views
Waungwana wa jamii forum mie ni mgeni humu naomba mnikaribishe na bila shaka ntafaidika na mengi ya elimu burudani na makala nyingi za nyie wakongwe natanguliza shukrani zangu na upendo kwenu...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…