Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimekuwa nikipitia sana mtandao huu wa JF lakini leo rasmi nimeamua kujiunga nawaomba mnipokee na tushirikiane kwani sisi sote ni familia moja...Thanx!.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
The water
0 Reactions
2 Replies
487 Views
Mm nimtanzania mwenzenu nimgeni, Jf naomba ushirikiano wunu
1 Reactions
4 Replies
713 Views
member wa jf naomba kujitambulisha kuwa mimi ni mtu mzima ninayehitaji elimu ya uzeeni.naomba kupitia jamvi hili nipate elimu kabla mola hajaniita mbele ya haki. ELIMU HAINA MWISHO.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana me sina mengi ya kusema ila ni kwamba me mgeni naomba mnikaribishe na mnipe mwongozo wa humu
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nichukue nafasi hii kujipongeza kwa kutimiza mwaka mmoja na miezi mitatu Jf
4 Reactions
16 Replies
1K Views
habari zenu wadau naomba kukaribishwa katika jukwaa zima la siasa na jamii form kwa ujumla mdau mwenzenu
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari ya uzima sana JF, Nami nimeweza kujiunga na JF maana siku nyingi sana najaribu inanitoa ushamba na hamu yangu kubwa ya kujiunga ni kuwa nashiriki midahalo inayotolewa humu kwa wema pia...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mgeni
0 Reactions
6 Replies
594 Views
Tuko pamoja jamani gurudumu lisonge
0 Reactions
5 Replies
750 Views
Habari zenu mi ni mtanzania mwenzenu mnipokee kwa wema asante
0 Reactions
5 Replies
852 Views
Habari Zenu Wana Jf Me Mgeni Kwenye Jukwaa Hili
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa majina naitwa paschàl Mathew Nina umri wa miaka 20 home tabora mi mgeni humu ushirikiano tafadhali
1 Reactions
3 Replies
688 Views
Nabisha hodi JF mko poa!
0 Reactions
3 Replies
694 Views
Mimi mgeni nafurahi kuungana nanyi hapa, nahitaji ushirikiano wenu
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari zenu poleni na uchovu wa shunghuli za leo kwa ujumla. Mgeni katika anga hili naamini nitapata mapokezi mubashara toka kwenu.
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Habari wakuu Tupambane na hali zetu..
2 Reactions
3 Replies
591 Views
Habari wana JF,baada ya kipindi kirefu kuwa naperuzi nimeamua na mimi nifungue account niwe mchangiaji.Naomba mnipokee pia mwenye avatar nzuri tafadhali anitumie niweke hapo
0 Reactions
5 Replies
665 Views
Nawasalimu wanajumuia baada ya kuwa msomaji kwa muda mrefu hatimae nimeamua kujoin
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni matumaini yngu mu wazma wa afya naombeni mnipokee humu kama mwana familia mpya..asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…