Habari zenu wakuu (ndo nilivyosikia mkiitana)
Naomba mnipokee na kunionyesha mazingira ya humu, ila naomba nichague member wa kunitembeza humu naye si mwingne bali ni miss chagga.
Maana anaonekana...
Kwa heshima na taadhima nawasalimu ninyi nyote wana JF. Nimejiunga rasmi jana ili nami niweze kutoa mchango wangu wa kifikra katika jukwaa hili adhimu. Naomba makaribisho na mashirikiano mema...
Wadau wa Jamii Forums habari,
Mimi ni mgeni hapa naomba kujiunga nanyi katika jukwaa hili.
Tubadilishane mawazo, tuliwazane, tuchekeshane, tuburudishane, tukosoane, turekebishane na mambo mengi...
Waheshimiwa,wababa zangu,wa mama zangu,wakaka zangu, wadada zangu na shemeji zangu mm humu ni mgeni naomba principal na kanuni jins ya kutumia yaani vitu gan vinatakiwa vitugani havitakiwi.
Habari wana jf? NI muda mrefu sijawahi post wala kukoment chochote humu hadi nikahisi nitakuwa blocked,kumbe bado nimo. Naomba kukumbushwa sheria na kanuni za humu nisipigwe ban,jf ndio kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.