Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mi mgeni hapa jf. Awali ya yote asantenii......
1 Reactions
3 Replies
499 Views
Jamani mimi ni mgeni humu ndani hivyo nahitaji ukaribu wenu.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarini Ndg zaangu makaka na wadada wenzangu assalam alykum bwana yesu asifiwe Ndio naanza rasmi kutumia hili jukwaa naomba mnikaribishe. asanteni
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu (ndo nilivyosikia mkiitana) Naomba mnipokee na kunionyesha mazingira ya humu, ila naomba nichague member wa kunitembeza humu naye si mwingne bali ni miss chagga. Maana anaonekana...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hello! Naomba ushirikiano wenu. ni mimi ndugu yenu toka facebook.
2 Reactions
12 Replies
941 Views
.
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima nawasalimu ninyi nyote wana JF. Nimejiunga rasmi jana ili nami niweze kutoa mchango wangu wa kifikra katika jukwaa hili adhimu. Naomba makaribisho na mashirikiano mema...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu ? Mimi ni mgeni humu naombeni ushirikiano wenu By professional mimi ni mhandisi .
0 Reactions
72 Replies
3K Views
Ninayo furaha kuuungana nanyi humu ndani ili kuweza kushiriki nanyi mijadala mbalimbali. Nawashukuruni nyote. Wenu ktk mijadala, muramu.
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Mimi ni mgeni naombaaa mnipokee
0 Reactions
11 Replies
768 Views
Wadau wa Jamii Forums habari, Mimi ni mgeni hapa naomba kujiunga nanyi katika jukwaa hili. Tubadilishane mawazo, tuliwazane, tuchekeshane, tuburudishane, tukosoane, turekebishane na mambo mengi...
0 Reactions
4 Replies
610 Views
kama kawa wadau nimo ndani
0 Reactions
1 Replies
540 Views
Here new member naimani nipo sehemu mahususi kupata info na mijadala yakinifu Ahsanteni[emoji120]
0 Reactions
12 Replies
954 Views
Mimi mgeni hapa wenyeji mtanisaidia kuniongoza. Sio mbaya mkanitafutia kabinti karembo kakunifanya active member. Nashukuru.
0 Reactions
13 Replies
909 Views
Habarini jamani. Mm mwenzenyu mgeni hapa naomba kukaribishwa..Mnipokee kwa mapenz makubwa kama nilonayo mm.
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Waheshimiwa,wababa zangu,wa mama zangu,wakaka zangu, wadada zangu na shemeji zangu mm humu ni mgeni naomba principal na kanuni jins ya kutumia yaani vitu gan vinatakiwa vitugani havitakiwi.
0 Reactions
15 Replies
979 Views
Habari wana jf? NI muda mrefu sijawahi post wala kukoment chochote humu hadi nikahisi nitakuwa blocked,kumbe bado nimo. Naomba kukumbushwa sheria na kanuni za humu nisipigwe ban,jf ndio kila...
0 Reactions
9 Replies
779 Views
mwanajamii mpya
0 Reactions
6 Replies
573 Views
Mimi kijana mwenzenu nawaomba niju muike nanyi nafahamu humu kuna wen ye ufahamu na weledi ,kadri mungu alivyowajalia naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
16 Replies
879 Views
Back
Top Bottom