Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
ndugu wanajamvi naomba mnikaribishe humu japo kwa kunipa LIKE za kuanzia. Asanteni
10 Reactions
34 Replies
2K Views
natumain nyote ni wazima wa afya na naombeni ushirikiano mm kma member mpya hatumain mmenipokea naombeni makofi kdgo bac wakuu [emoji12] [emoji12]
1 Reactions
8 Replies
672 Views
Jamani husikeni na kichwa cha habari hapo juu ,Mimi ni member mpya ambae ni mcheshi sana hadi nasahau sehemu zakuwa serious natania so mnivumilie na mnikumbushe mkiniona napuyanga ili nirudi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Jaman mimi ni mgen humu, naomba mnikaribishe na nahitaji support zenu
0 Reactions
9 Replies
768 Views
Wakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
2 Reactions
96 Replies
5K Views
Assalaam alaykum warahmatullahi wabaraakatuh kaka na dada zangu wa JF. Nimeamua kujiunga humu ili niweze kujifunza mambo kadha wa kadha kutokana na hoja anuai katika mazingira yetu ya kisiasa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodi hodi me nafurahi kujiunga kwenye huu mtandao wenye heshima naombeni mnikaribishee
0 Reactions
6 Replies
875 Views
Habari zenu , Poleni na pilika pilika za hapa na pale, natumai tutakuwa pamoja hapa jf
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Salam kwenu ndugu naombeni ushirikiano Mimi mgeni humu
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Am a new member in jamii forum, my interest falls on economic and social matters, am not much into politics , i surely need your cooperation in different aspect so as i can learn a lot from here.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu wanajukwaa kwa heshima na taadhima kuu naomba mnipokee Kundini mimi mwanachama mpya humu.ahsante
0 Reactions
13 Replies
887 Views
Habari zenu wana jamii forum. Mimi ni mgeni kwenye hii media, ni matumaini yangu mtanipokea vizuri na kunipa ushirikiano pale ambapo inahitajika. Shukrani!!
0 Reactions
6 Replies
608 Views
Kwa Mara ya1
0 Reactions
8 Replies
701 Views
Mimi ni mgeni humu ndani nawapenda saaana pia najifunza mengi ya busara na maadili nawapenda sana.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wapendwa mimi ni mgeni humu ndani nilikuwa nikitumia jamii forums as a guest.N imevutiwa na mijadala ya humu ndio maana nimejiunga ila nimevutiwa na hili jina baada ya kusoma mchango wa...
0 Reactions
4 Replies
606 Views
Me mgeni naomba kukaribishwa
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Naomba kukaribishwa.
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya kutumia mitandao mingi ya kijamii kama Facebook, Instagram, Twitter; leo nimekuja humu JF. Naombeni mnipe sheria za huku. Oviaz(obviously) niko mgeni sana. Taifa langu Kenya...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Am new her na nafurah kuwa hapa tushirikiane wapendwa nawapenda wote..
6 Reactions
103 Replies
6K Views
Back
Top Bottom