Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Natumaini wote mko poa, mi mgeni (Jf ) thanks
1 Reactions
65 Replies
3K Views
Hodi wana JF, Nasi tunapenda kuingia katika ukumbi huu wa GT. BB Pharma Consultancy Limited ni kampuni ya kitanzania inayotoa msaada wa kitaalamu katika masuala ya usajili wa bidhaa na huduma za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
mimi ni kjana/young age 21 bado mwana funzi naombeni muongozo wa humu JF ili niweze kwendana na maudhui sa hh bila kuhalibu chochote kile plz naomben muongozo
2 Reactions
49 Replies
3K Views
naomba msaada wa namna ya kufuta thread niliyoiandika na ilishachangiwa.
1 Reactions
4 Replies
712 Views
Heshima zenu wakuu [emoji113] .
1 Reactions
10 Replies
882 Views
Baada ya kuperuzi katika hili jukwaa kama mgeni, kwa miezi kadhaa, hatimaye sasa nimejiunga rasmi ili kuungana na wenyeji mlioko humu. Ni matumaini yangu kuwa sitajuta kuwemo kwenye hili jukwaa.
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Mm ni mgeni umu napenda kuwajua na kushilikiana ktk madaa na vitu mblmbl Asante
1 Reactions
9 Replies
878 Views
Habari zenu wakubwa shikamooni mi mgeni humu ndani
0 Reactions
14 Replies
549 Views
nimefurahi kujiunga hap Jamii FORUM naomba mnipokee asanten sana
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kweli nimeamin humu jf hakuna masikin kila mtu ni tajiri watu wanajinadi sana sa cjui na mm nijifanye matawi saana ili tuende sawa mana kila mtu anamwaga sifa ya tumilion milion imebak kawaida...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Nina miaka 7 sasa Jf ila kutokana na sababu mbalimbali , sikuwa active member Tafadhali , nikaribishwe
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, mimi ni mwanachama mpya wa jf,japo ni msomaji mzuri tu wa comment za watu bila kuwa mwanachama rasmi.JF imekuwa mtandao wangu bora wa kijamii tangu kitambo sana.Mnipokee na...
0 Reactions
6 Replies
593 Views
Hodi humu
0 Reactions
9 Replies
898 Views
hamjambo woteee
0 Reactions
3 Replies
519 Views
hello guys
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Mimi nimgeni nimekuja leo naomba ushirikiano wenu
0 Reactions
6 Replies
746 Views
Mimi ni mgeni jamani naomba tuvumiliane na kupeana muongozo panapostahili...
0 Reactions
19 Replies
861 Views
Hoodii
0 Reactions
3 Replies
691 Views
Nafurahi kuwa pamoja nanyi humu jf natumaina ndajufunza mengi kupitia nyie. Ahsanteni kwa kunipokea
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Samahanini kama nilivyowaeleza kua mi mgeni humu ko matumizi ya hii jf bado cjawa na uzoefu nashindwa kupost picha jaman tatizo ni nini au nifanyeje ili ni upload picha jaman nimeshindwa kabisaa...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom