Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi mgeni wenu nipokeeni bila ya kinyongo , nilikua napitia humu kabla ya leo kuruhusiwa kuingia rasmi. Naomba ushirikiano wenu mimi ni mgeni wa Mungu naomba munipokee.
0 Reactions
7 Replies
918 Views
Habar wapendwa wa jf.mi ni mgeni naomba ukaribisho wenu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naitwa Learnin aka Jifunze kwa uhuru popote. Ni tovuti katika elimu. Learnin na @learninTZ Naomba kujumuika pamoja nanyi.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
mimi nimgeni, hapa kwenye hii forum, nimeipenda sana. mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, wafugaji mpo?? ambaye ana kuku aina ya Dorep na kenbro please anifahamishe.asanteni
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Am new here am I welcomed?
0 Reactions
6 Replies
942 Views
Habari zenu wanaJF Jamani naombeni mnipokee kwa moyo mkunjufu kabisaaaaaaa. Ushirikiano wenu ni muhimu sana katika ushiriki wangu humu. Asanteni
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimefurah kujiungA na nyie tushkamane
0 Reactions
5 Replies
979 Views
Fanya kazi kwa bidii
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni hapa JF, naomben mnipokee, asanteni.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Duuuh kitambo kweli nilijua hii acount imefungwa aisee kumbe bado ipo..am back again...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Member mpya in jf nahtaj ushrkiano wana jf
0 Reactions
3 Replies
833 Views
Wana jami Hali zenu wote naomba mnikaribishe Mimi mgeni kwenu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
habar zenu wadau... mimi ni member mpya kabisa naomben mnipokee na miongozo yenu ni muhim kwng.. together as one chears!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini!! Kijana ni chachu ya maendeleo katika jamii..tafadhali kila kijana ajitambue.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
b'cause am coming natural like a dark horse. hizo ni mbwembe 2 hi my fellow black people
0 Reactions
3 Replies
1K Views
heloo jf members..mi ni mgeni hapa naomba kutambuliwa na kukaribishwa
0 Reactions
5 Replies
951 Views
Nini furaha kujiunga humu nipokeeni, nielekezeni, na nihabarisheni.
0 Reactions
4 Replies
698 Views
Wakubwa shikamooni, walika langu mambo vipi na wadogo kwangu nimeipokea salamu yenu. Wote naombeni munipokee jukwaani maana nina kiu kweli ya kujumuika nanyi. ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI...
0 Reactions
3 Replies
868 Views
hello wana great thinker hodi naomba kukaribishwa jamvini
0 Reactions
6 Replies
938 Views
Wakuu, hodi jamvini. Naitwa Bhupe, mwanachama mpya.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom