Kiukwel nmekua nkivutiwa xana na hoja mbalimbal za wanajamvi coz nahis kuna vtu ving tu najifunza hivyo ningeomba ushirikiano wenu zaid ili twende xawa. Ivo yan
Nisaidieni jamani kila mwanamke ninae mtongoza ananikataa ila nikisha mpotezea anajiludi wakati mm loho haimpend hilo nitatizo gani?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JF Haivumiliki kwa sasa hasa tunapoelekea katika uchaguzi mkuu. Nami nimeona nisogee karibu jamvini ili niweze kutoa mchango wangu laivu.
Asanteni sana JF kwani mchango wenu katika kuamsha umma...
Jina naitwaituaga muganzi mi ni msanii na pia malenga Nilianzia usanii shule na bado naendeleaniko kwenye ukumbi wa kenya national theatrehapa kunawasanii wengi waigizaji na wanasarakasi nilipata...