Hod umu ndan.... kwa heshima na taadhima naomba kukaribishwa umu ndan udambwiudambwi na udagadagaa wa umu jamvin umenivuti....naomba kukalibishwa tafadhali....
Wakuu nimeingia rasmi humu ndani kama mwana JF,japo ni zaidi ya miaka sita nimekuwa nikiperuzi habari mbalimbali.Ninategemea,ushirikiano, ushauri na ukosoaji wenu pasipo chuki wala ugomvi.Ndimi...
Ndugu zangu wana JF,
Napenda kuwasalimu katika jina la aliye mkuu kuliko wote ambaye ndo aliyeumba ulimwengu huu.
Leo nafurahi kuutangazia umma kuwa sasa na mimi niko JF tayari kuchangia mijadala...
Once a lurker, now a member looking for a time to remember..........that sounds like something one would write on a creepy dating website.
Anyway, am glad I have finally joined. Cheers!
Habari zenu wakuu, nimerudi katika jukwaa letu pendwa baada ya mapumziko ya muda. Shukran kwa Mkuu Katavi, Mkuu watu8 na Mkuu Ulimakafu kwa kuendelea kuwapokea wageni. Bila kusahau members wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.