Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
hodi wakuu. mie mgeni wenu naombeni mnipokee. akhasenteni
1 Reactions
6 Replies
1K Views
wana jf,mi ndo kwaanza mgeni!naomba kukaribishwa wajameni,.nizoee mazingira kidogo.
0 Reactions
7 Replies
696 Views
Mie mgeni
0 Reactions
5 Replies
757 Views
Habari za hapa jamani mi ni mgeni wenu naomba mnipe guidance.Ahsanteni sana nawatakia siku njema
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Hi... wadau wa majukwaa.
0 Reactions
4 Replies
772 Views
jamani wenyeji hodi kidogo..jamani wana jamii hodiiiiiiiiiiiiiiiiii......
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jaman mwenzenu mgen japo nilivyoingia ni siri ya kambi,nikaribishen.
0 Reactions
7 Replies
873 Views
Mamboni zenu humu Daaah! mi mgeni humu Naomba ushirikiano wenu wapendwa
0 Reactions
6 Replies
638 Views
Wadau habari zenu za leo? Baada ya kuwa mtazamaji kwa muda mrefu tu(nilikuwa guest user) tangu nione hii kitu ofisini kwa jamaa yangu basi leo nimeona nijiunge rasmi ili niweze kuchangia na pia...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
nimekuwa nikishiriki jamiiforum km mgeni kwa muda mrefu sana. Kuna mengi mazuri km uhuru wa kuongea, kupashana habari, kujifunza na kuwafunza wengine, kuona misimamo na dhamira za watu mbalimbali...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya makundi nikiandika najibiwa nilichoandika kitakuwa "trashed" nikaribisheni basi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jaman nimesumbuliwa na upweke nabisha hodii nikaribisheni
0 Reactions
6 Replies
777 Views
Ninawasisi SISI wenyewe Watz kuwa kikwazo katika EAC ambayo inakuja kwa kasi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu mi mgeni huku nipokeeni kwa mikono miwili jamani
0 Reactions
10 Replies
965 Views
Naitwa Ras junior nipo. Arusha nafanya biashara ya kuuza simu. Na pia ni artist. Ukitaka tufanye Biashara. Au issue za sanaa namba hyo hapo 0765838708 Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naombeni mnipokee wana jf.
0 Reactions
6 Replies
790 Views
Napenda jinsi mambo yalivyo humu ndani ukitaka kiuchumi,kisiasa,elimu na n.k yanapatikana huku :A S-frusty2::A S-frusty2::A S-frusty2:dah!Ahsanteni
0 Reactions
7 Replies
812 Views
Nikalibisheni wana jamiiforum.Hata mbuyu ulianza kama mchicha mwishoe huooooooooooo!
0 Reactions
5 Replies
883 Views
jamani nabisha hodi mimi ni mjeni kabisa hapa ila ni mtanganyika halisi na naililia nchi yangu iliyokuwa na baraka na jina lililotukuka,umri wangu ni chini ya miaka ya muungano lakini hainizuii...
0 Reactions
7 Replies
993 Views
jamani wakuu mi ni mgeni........
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom