Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimefurahi kuungana na watu muhimu kama nyinyi. Naomba msaada wenu.
0 Reactions
4 Replies
798 Views
Hi!
Habari zenu wana JF,mm ni mpya humu,hivyo niko nanyi pamoja!
0 Reactions
4 Replies
771 Views
jaman hodi humu ndani. mie mgeni wenu hodiiiiiiiiiiii
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Nimekuja mie mgeni wajameni
0 Reactions
7 Replies
858 Views
Kwa Mara yakwanza naomba ukubali wenu katika jukwaa hili nikiwa member mpya kabisa katika jukwaa hili. Mnipokee lakini tijadiliane kwa kufundishana sote.
0 Reactions
4 Replies
822 Views
Mie ni mgeni naombeni mnipokee
0 Reactions
6 Replies
800 Views
Jamani mie nimeamua kujiunga na jf hivyo naomba ushirikiano wenu na napiga hodi kuomba urafiki
0 Reactions
4 Replies
851 Views
im back again
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Mgeni nimeingia, naombeni ushirikiano wanajamii.
0 Reactions
7 Replies
903 Views
Habarini enyi ndugu zangu wana JF!! Nafrai kuwa mmoja wa JF member kwa sababu 1. Ni mali ya Watanzania halisi yenye lugha yetu halisi(Kiswahil) 2.Ni mahali ambapo palinipa, Pananipa na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninafurahi sana kujoin na the home of great thinkers maake ni mda sana nimejarbu kujiunga na jf lakn device yang ilishndwa! Naombeni ushirikiano wenu mzur ktk uanajamvi humu ndan;nawatakia wakat...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hello!hello jf members,habari zenu wanaharakati.hatimaye nimepata msukumo wa kujumuika nanyi,naomba ushirikiano wenu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni member mpya naomba mnipokee
0 Reactions
6 Replies
866 Views
Hi guys am new here nahitaji friends
0 Reactions
3 Replies
858 Views
hi
Nawasalimu wote kwa jina la jamii forum
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nafurahi kupata fursa ya kuchanganyika nanyi greeeeeaaaat thinkers. tupo pamoja. nimechoshwa kutembelea majukwaa kama guest,raha ya ngoma uingie ucheze
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habar zenu..,nawasalimu wote mliopo umu ndani,wakubwa kwa wadogo...nmeamua kujiunga na jf kwa ajil ya kushare ideas na kujfunza pia,,,naomben ushirikiano wenzang!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
mambo mpendwa uko poaw? I'm cool, god bless us and please stay in your faith
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Habari! mimi mgeni jamani! Naomba mwongozo wa spika!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu; Mimi ni mgeni humu jamvini, nabisha hodi kuomba ushirikiano wenu. Asante
0 Reactions
11 Replies
890 Views
Back
Top Bottom