Wakubwa Shikamoni, wenzangu na mie Habari zenu,Mimi ni mgeni humu jamvini natambua kila sehem kuna sheria na utaratibu wake tafadhali nijuzeni angalau kidogo tu SHERIA na UTARATIBU wa humu ndani!
Home of great thinkers,am new here.....nimekua nikitembelea jf for sometimes and seriously I find it very very useful adi imebidi leo nijiunge so that I can learn more and more.Hope am welcomed
Tunayo pongezi kubwa kwa vijana wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu Ardhi kwa mwaka wa masomo 2013/14. Chuo kipo jijini Dar es Salaam karibu na UDSM.
Nianze kwa kukufahamisha jinsi ya...
neitwa ikigoma iwachu nikimaanisha kigoma kwetu! mkoa wenye kila sifa njema fursa za kumwaga na kila aina ya vivutio unaujua lowe, mgebuka, sokwe. watu wote mashuhuri wameshafika kigoma. bado wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.