I'm Cornelia. I am Anonymous. It's nice to meet you all. I like the discussion you conduct in here. I'm here to learn and meet new people online. Sorry for not sharing any information about my...
Mabibi na mabwana.Kwa heshima na taadhima ninaomba kukaribishwa katika mji wenu uliojawa sifa zote za mhamiaji kama mimi kuzifurahia.Naomba ushirikiano wenu.
hello wapendwa,
mi ni mtanzania mwenzenu natokea waja leo uondoki leo natumaini ntakaribishwa humu. JF is a part of learning Institute pia kupunguza stress.
Gender- ke
thank you.
Mimi ndiye JOSEPH MATIKO MATARE ambaye makomredi wa UDSM enzi hizo mnamtafuta.Pole sana makomredi kwa kunipoteza kwa muda mrefu nilikuwa ninajiimarisha sasa ninarudi kushirikiana na wanaukombozi...
nikaribisheni ndugu zangu
Nauhakika sijakosea njia kuingia jf kushare na ninyi wenzangu info', na mengi ambayo tunajaaliwa
nimeyapitia mashart vizuri naamini ntaweza kwani sina lengo baya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.