Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Am happy to join Jamii Forum members,its interesting i hope this will be beneficial for me and all other members as well. Peace to all
0 Reactions
5 Replies
621 Views
Ya mungu mengi!atujaaliye wote na kutuongoza,,tupate mawazo mapya na mazur
0 Reactions
7 Replies
757 Views
jamani mie mpya humu ndani nikaribisheni,nifundisheni jinsi yaku co oparate na watu humu,jinsi ya kutumia vema jf na mengneyo mengi
0 Reactions
8 Replies
714 Views
Kwanza nawapa pole kwa mihangaiko ya kutwa ya ujenzi wa taifa letu. Naamini mwisho wa yote ni kujenga taifa lenye ustawi imara kwa manufaa ya wote. Pili naombeni mnipokee kwa furaha ktk jukwaa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimerejea wanajf. Tuiombe Taifa stars ifanye vizuri dhidi Moroco kwenye mchezo wake wa kesho. Mungu ibariki Taifa stars Mungu ibariki Tanzania.
0 Reactions
6 Replies
839 Views
Asalaam Aleykum waungwana. Nawasalimu kwa lugha, dini na itikadi zenu. Mgeni nimeingia naomba miongozo, order, kuhusu utaratibu na mengineyo. Ila tangu mwanzo nieleweke kuwa napenda vitu vyote...
0 Reactions
10 Replies
883 Views
Hi
Naomba kuuliza, Baraza la mitihan(NECTA) limesogeza mbele mda wa usahili kwa RISITAZ? Au wameacha mda ule ule?
0 Reactions
3 Replies
672 Views
Humu ni nyumban kwa ma-great thinker, coz im da 1 imenibid nijiunge na thinkers wenzangu,
0 Reactions
4 Replies
582 Views
Humu ni nyumban kwa ma-great thinker, coz im da 1 imenibid nijiunge na thinker wenzangu
0 Reactions
6 Replies
763 Views
hodi wenyewe!, nimekuwa nikijigonga humu coridoni kutafuta chumba hiki,hodi tena!!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
bandugu habari. nimekula ban nene sana ya maisha sasa nimekuja upya ......napenda kudiclea interest yangu. mi ni chadema wa kufa na kuzikana.....
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hodi! naomba kukaribishwa jamani wanajamii!
1 Reactions
67 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana jf.Cku zote mgen mstaarabu.ni yule abishae hod anapo fika kwenye mji.Pia mwenyeji mstaarabu ni yule anae mkarim mgen..sasa na mm nasema hod kwa wana jamvi wote..
0 Reactions
7 Replies
903 Views
I am a new member guys!
0 Reactions
2 Replies
543 Views
wadau wa jf naomba mnipokee nimejiunga kwa ajili ya kushea different ideas na kuwa updated na mambo mengi,,,,, jf z the soln Naomba kuwasilisha wana jamvi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Asante kwa mapokezi ni utamaduni wa mtanzania
0 Reactions
2 Replies
397 Views
Nipokeeni kwa mikono miwili na kwa moyo mmoja. Tushirikiane kutoa mawazo yenye kujenga nchi yetu. Amani kwenu nyote.
0 Reactions
4 Replies
817 Views
new member wa jf,:A S angel:
0 Reactions
7 Replies
821 Views
Wakuu mimi ni memba mda humu nimekuwa kimya toka kujiunga kwa sababu nlikuwa sijapata thread ya maana ma ya uhakika, ila leo nimrpata hii Katika kupitisha macho youtube wakuu nimekutana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wana JF nawaombeni munikaribishe kwa moyo wa upendo kabisa.nimeamua kujiunga humu baada yakuumwa mudaa mrefu na kktka kipindi changu kikugumu Jamii Forum ilikua ni sehemu yangu kujifariji...
0 Reactions
7 Replies
942 Views
Back
Top Bottom