Wapendwa wana JF mimi kbhoke napenda kuwasalimia na kuwaelezeni kwamba nathamini sana mchango wenu wa mawazo ndio maana siku zote lazima nichungulie hapa. Mbarikiwe.
Hello! I have been here once in a while i just realized now that I didn't "knock". pardon my manners.LOL...
looking forward to sharing and learning more.cheers!!!:A S shade:
hi!
wakubwa nami nimeungana nanyi katika kuhabarishana, kuelimishana na kurekebishana kwa kutumia mtandao huu wa ukweli. Facebook a.k.a UDAKU kumeniboa nimeamua kuja huku kwenye akili.
Wasalam
Kwa ujumla mi ninamasikitiko makubwa kwa matokeo ya kidato cha nne ivi inch yet inaelekea wapi kaw nus ya watainiwa wote wamefeli mtihan hao wanafunzi zaid ya laki mbili ambao awajui atima ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.