Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
greetings wana jf, nina furaha kujiunga na hii place,nawomba ukaribisho wenyu tafadhali!asanteni sana! Bravo!bravo!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau tupendane.Nimefika jf leo,kwa uwezo wa mwenyezi mungu tutakua pamoja.
0 Reactions
6 Replies
972 Views
Hello frendz,how things................!
0 Reactions
7 Replies
790 Views
mambo vipi mimi ni mgeni mpya humu ni totoz wa poz ila csi mchokoz wala mdokozi ahhah tusaidiane jaman tupendane
0 Reactions
7 Replies
823 Views
Nimekuja kuwapasha moto
0 Reactions
7 Replies
827 Views
Nafurahi sana kujiunga katika jamii hii ya watu wenye kufikiri sana, naamini sijapotea na ninamatumaini ya kulelewa vyema sababu me bado ni jani dogo ambalo linatakiwa likuwe kama mbuyu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
hodi hodi uwanjani,wana jamvi mnikaribishe,nimej=kuja na nasaba na nyingi nasaha,naomba mnitunze na mengi mnijuze.ukweli kwangu jadi uongo na unafiki kwangu mwiko,mzalendo wa haja mwenye nyingi...
0 Reactions
7 Replies
951 Views
Wakuu sisi ni kuku wageni wenye kamba mguuni naomba tujue tuanzie wapi? Na taratibu za humu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hodi wana jf salamu kwa wote
0 Reactions
12 Replies
1K Views
:crazy: Ukiwa mpya jukwaani kizungu-zungu tupu!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Am here now, so Hot
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Naitwa king kimwe' kutoka tabora mnipokee mnyamwezi wenu ndo naingia mjini hvy! Aksanteni
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Uzwaji wa form za uchaguzi tff kwa gharama, lengo kutafuta viongozi wenye pesa au wenye mapinduzi ya soka!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wenyeji hodiiii.
0 Reactions
7 Replies
747 Views
Habari wana JF! Natumaini mu wazima.. Mie mgeni humu, naomba kukaribishwa jukwaani.
0 Reactions
6 Replies
777 Views
hi
am new.. jf membrz helloz....
0 Reactions
6 Replies
811 Views
kama kichwa cha habari kinavyo sema naomba niingia kwanye jamvi la ukweli lenye elimu bora ktkt ulimwengu wa kidigitali naomba mnikubari
0 Reactions
4 Replies
706 Views
Ndo nimeainza safari but sipend niishie njiani kama Mpoto! hope to get support from you people.Thx.
0 Reactions
6 Replies
836 Views
Mkurugenzi nimekuja
0 Reactions
5 Replies
660 Views
Mgeni mpya bw Ludovic. Nimekuwa nikifuatilia JF tangu mwk 2008 ila sikupata kujiunga awali nilikuwa mushamba mwenzenu kutumia haya ma PC na wahindi nao wanatubana na kazi zao ka mushahara kadogo...
0 Reactions
4 Replies
873 Views
Back
Top Bottom