Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi,na shukuru kwa mapokezi,tutashirikiana kwa mada.bigup.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
mmenivutia na jinsi mnavyoelimisha na kuburudisha wakati mwingine. :bange: so nimeamua nami niwe mmoja wenu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
nipokeeni.
0 Reactions
8 Replies
970 Views
Habar zenu wana uwanja. Kuna mtu ananisumbua, ananambia nimwambie dereva wa tren anaitwaje! M mwenyewe cjui. Anayejua anambie bas
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wakubwa shikamoo. Wadogo zangu marahaba, wa rika langu wambo niaje, ni mgeni ndan ya jamvi, naomben kupokelewa, 2juzane,2elimishane,2kosoane na kuwekana sawa inapobd. Asanteni.
0 Reactions
12 Replies
936 Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa muda mrefu wa jf,sasa nimeamua kujiunga nanyi wandugu,natumai nami nitafurahia jamii hii. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani mpo,na mimi nimekuja kuishi katika nyumba hii. nitafuata vema taratibu za upangaji
0 Reactions
8 Replies
896 Views
me ni mgeni humu ndani na naomba ukaribisho wenu. Weekend njema.
0 Reactions
8 Replies
692 Views
Habari zenu wana jamvi? Naomba mnikaribishe mgeni wenu.
0 Reactions
9 Replies
770 Views
Mimi nikiwa mgeni humu ndani naomba kujiunga nanyi ili tusaidiane na kujengana kimawazo na hata kiuzoefu wa maisha. Nawapongeza nyote wana jamii mnaotoa michango chanya na mizuri kwa kuisaida...
0 Reactions
13 Replies
927 Views
jamani mbona ckaribishwi?mi mgeni japo cna kamba mguuni!
0 Reactions
5 Replies
653 Views
jamani wenyeji, mda mrefu kama Guest, sasa kwa ruhusa yenu Hodi jamani!!!!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii, Naitwa Ashura Jamaldin, am new here.nilikua nasoma mengi humu as a guest but nimejifunza mengi nimeona bora nijiunge. Hope to learn more. Thank u in advance.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nimerudi tenaaaa:behindsofa:
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mtu akiufungua mlango wake nitakaa kwake,nitakula pamoja naye humu JamiiForums.TUPO(Time to Unite People Online)
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimejiunga nanyi wakuu ili nijifunze kwenu nanyi mpate kile nilichonacho. Natuaini wote tutashinda. Wanasema 'win - win situation'. Mnanikaribisha?
0 Reactions
10 Replies
959 Views
nimevutika sana na mambo ambayo Jf members mnafanya humu ndani,ili kuthibitisha hilo sasa nimeamua kujiunga rasmi na WANA JF,MNIPOKEEE JAMANI
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hi
hello my friends naombeni mnipokee
0 Reactions
13 Replies
1K Views
habari zenu,Mi ni binti wa miaka 28,natafuta mchumba ambae Mungu akijalia atakua mume,awe na umri kuanzia 30 na kuendelea,awe mlokole,anayefanyakazi yeyote inayomuingizia kipato.kabila lolote,mi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ugeni ndio huoo umewajia wanaJF
0 Reactions
6 Replies
860 Views
Back
Top Bottom