Nimejiunga hivi karibuni. Pamoja na elimu ninayoipata kutokana na mijadala mbali mbali pia nafurahia uwezo mkubwa wa wana jf katika kuandaa na kuchambua mada. Natamani ningekuwa na uwezo huo.
Ni...
Nawasalimia wadau wote wa JF.Mimi nimdau mpya wa jamvi hili nikiwa Kigoma huku tulipovamiwa na majangiri na mafisadi.Naomba ushirikiano wenu ktk kufanikisha kupeana habari zenye tija kwa taifa...