Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
napiga hodi wana JF mnipokee mnipe ushirikiano wa kutosha nilikua msomaji mzuri wa JF lakini nilikua sichangii sasa nami nimekua mmoja wenu ahsanteni
0 Reactions
8 Replies
829 Views
wana jamii forum,ninawasalimia na kuwaambia kua nimejiunga nanyi baada ya kua nasoma coments senu kwa mda mrefu,nawaaomba mnipokee
0 Reactions
10 Replies
1K Views
jamani ndugu zangu mimi ni mgeni kwenye jamvi hili.na nimeona nianzie huku kujitambulisha kabla cjaanza kuchangia kwinginelo.naombeni ushirikiano wenu
0 Reactions
5 Replies
808 Views
nawapenda sana!!! mnanipa raha nyie...wallah ndio mana nikaamua kujiunga nanyi!!! mwanifungua akili etc etc etc!!! naombeki kukaribishwa....lakini kukaguliwa naogopa!!!! hodi!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Me mgeni kwa leo tu,kesho nipeni jembe nikalime
0 Reactions
5 Replies
695 Views
Habari zenu wana-janvi,ni matumaini yangu afya zenu Mungu ameendelea kuzilinda na kwa waleambao hawajisikii vizuri ninaimani kwa uwezo wake atawarehemu. Salaam maaluma naomba ziwafikie wale...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimejiunga na familia hii, naamini mtanipokea kwa mikono miwili.
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Habari wana JF, naomba mnipokee maana mm ni member mpya, mara nyngi nlikuwa napita knye JF,sasa na mm ni memba mpya.asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hellow jamii forum,l interested with this, we shall be together
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hodi hodi. Kupga hod cna budi, Jin lang PROF MUDI, mie ni mtu wa juhudi, zur lang ni la ksudi, baya kwang halirudi....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimekuwa nikipitia kitambo na sasa ninasema hodi hodi wajameni. Nimeamua kuwa nanyi na mniunge mkono na pale ninapokwama muwe nami jamani!
0 Reactions
12 Replies
911 Views
nawakubali great thinkers
0 Reactions
5 Replies
683 Views
Baada ya kuzunguka maeneo mbali mbali,Nimeona hapa ndiyo mahali ambapo naweza kukutana na jamii na kujisikia na mimi nipo kwenye hii globe yetu.Hivyo babisha hodi waheshimiwa.
0 Reactions
9 Replies
924 Views
Tafadhalini wana JF,naomba mnikaribishe kwa mikono miwili. Nimekapenda sana haka kaeneo ambako naweza kupigia chafya na kukohoa kidogo. Yote ni katika kusukuma gurudumu letu la maendeleo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamii Forums Great Thinkers! I salute You! Nimeamua kujiunga nanyi ili kupunguza idadi ya mazumbukuku na kuongeza idadi ya Thinkers hapa nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. I'm not as stupid as...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi to all you guys in JF!, I'm very attracted,impressed by this community. Real i feel more joyful to meet you guys. Would you guys say to me welcome to our community?.
0 Reactions
8 Replies
930 Views
sote watanzania tuupinge kwa nguvu zote udini ktk nchi yetu ambao utatuvugia amani yetu.naomba kukaribishwa kwenu.
0 Reactions
9 Replies
914 Views
Npokeen km nabii wana jf!
0 Reactions
6 Replies
905 Views
nikaribisheni bhana
0 Reactions
9 Replies
855 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…