Mambo vipi ladies and gents on Jamii Forum!My Name is Salim and i am from Iringa,i am a businessman/student i own a rice milling machine so if any one needs rice/wali/uchele to buy just contact me...
Habari wanaJf. Mi mgeni. Naomba ukaribisho. Nilikuwa kama Guest hapa JF kwa kitambo kdgo nikiendelea kujifunza mengi kutoka kwenu. Naomba ukaribisho rasmi ili niweze kushiriki ktk mijadala...
Hodi mara ya kwanza
Hodi mara ya pili ya tatu ndo naingia.
Mie kwa jina Hun au kwa kirefu Honey ndo jina nlopewa kwetu
Ninapenda kuwa mmoja wa ma great thinkers,navutiwa sana nanyi.nawapendaaa
Nawasalimu wote wanajamii.mimi ni $mpya hapa jukwaani na naomba ushirikiano wenu wote wanajamii ili nami ninufaike na jukwaa hili.
Mungu awabariki sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.