Napenda kujiunga nanyi waungwana wa jamii forum. Pia nawapa salaam toka kwa watu wa Mpanda nilikotoka juzi kuja maadhimisho ya miaka 13 ya kifo cha mwl na kuamua kwamba sitarudi tena huko...
nimekuwa nikifuatilia posts nyingi sana hapa jamvini kama mgeni lakini nimekuwa nikikosa uhondo kamili ndio sababu nimeamua kujiunga Leo.
nipokeeni mgeni ..
its my first time and 1st opportunity to say hi to u all my fellows, welcome in this pge of great thinkers so that we can cooperatively give views and opinions on politics esp TZ politics
Habari za saa hizi wana Jamiiforums,Nimegundua kujiiba hakuna raha na leo nimeamua kujitambulisha rasmi kwenye hii familia kubwa ya wana JF tafaadhali nikaribisheni kwa mikono miwili.
Nipo siku nyingi humu nikiwasoma kama mgeni, leo nimeona nijiunge na mimi nipate kuchangia mawili matatu kulingana na uzoefu wangu kwani sasa nina muda wa kutosha baada ya kumaliza majukumu...
Baada ya kuwa mperuzi mzuri wa Jf hatimae nimeamua kujiunga rasmi na huu mtandao ili kuisaidia jamii pamoja na kunufaika pia kutokana na michango ya wanajamii. I hp tutakuwa pamoja sana. Vp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.