Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Napenda kujiunga nanyi waungwana wa jamii forum. Pia nawapa salaam toka kwa watu wa Mpanda nilikotoka juzi kuja maadhimisho ya miaka 13 ya kifo cha mwl na kuamua kwamba sitarudi tena huko...
0 Reactions
5 Replies
878 Views
heloooo
0 Reactions
4 Replies
721 Views
Jamani na mimi nimeaamua kujiunga na jf baada ya kuifuatilia kwa muda mrefu naomba mnikaribishe kwenye huu uwanja.
0 Reactions
7 Replies
841 Views
nimekuwa nikifuatilia posts nyingi sana hapa jamvini kama mgeni lakini nimekuwa nikikosa uhondo kamili ndio sababu nimeamua kujiunga Leo. nipokeeni mgeni ..
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Poleni wanajamii forum mwenze mie ni mgeni kabisa naanzia wapi,nawaombeni msaada wenu, nawashukuru kwa kunikaribisha.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
:eyebrows:
0 Reactions
4 Replies
847 Views
Helo,ma niger thnkers hp yua fne
0 Reactions
5 Replies
641 Views
Nifundisheni, nielewesheni, mgeni mie naanzia wapi?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
habari zenu ndugu jamaa na rafiki mimi ni memba mpya naombeni mnipokee asanten
0 Reactions
5 Replies
892 Views
its my first time and 1st opportunity to say hi to u all my fellows, welcome in this pge of great thinkers so that we can cooperatively give views and opinions on politics esp TZ politics
0 Reactions
7 Replies
763 Views
Hellow jf members just wanna say hi 2u all am new here so i need ur cooperation!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
nawasalimu mnaohusika
0 Reactions
4 Replies
670 Views
Hamjambo nyote?
0 Reactions
4 Replies
669 Views
hello, hatimae nimetia timu.
0 Reactions
4 Replies
687 Views
nabisha hodi.
0 Reactions
5 Replies
813 Views
Habari za saa hizi wana Jamiiforums,Nimegundua kujiiba hakuna raha na leo nimeamua kujitambulisha rasmi kwenye hii familia kubwa ya wana JF tafaadhali nikaribisheni kwa mikono miwili.
0 Reactions
3 Replies
566 Views
Habari! nashukuru kupata nafasi ya kujadili pamoja mambo muhimu yanayohusu nchi yetu nanyi asanteni..
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Nipo siku nyingi humu nikiwasoma kama mgeni, leo nimeona nijiunge na mimi nipate kuchangia mawili matatu kulingana na uzoefu wangu kwani sasa nina muda wa kutosha baada ya kumaliza majukumu...
0 Reactions
2 Replies
587 Views
Baada ya kuwa mperuzi mzuri wa Jf hatimae nimeamua kujiunga rasmi na huu mtandao ili kuisaidia jamii pamoja na kunufaika pia kutokana na michango ya wanajamii. I hp tutakuwa pamoja sana. Vp...
0 Reactions
3 Replies
799 Views
am nyu !!!
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…