Jamani nipokeeni nimetoka mbali saaaana - nilikuwa yahoo
masanger, nikahamia FACEBOOK, huko nako amani imetoweka
watoto wameshika nchi, ndio maana nimeibukia huku.
kama kawaida kwa wapenda maendeleo kama mimi hawawezi kuacha kitu kama JF kiwapite, hii inatokana na utendaji kazi wake na hali halisi ya uhuru wa kujieleza ilivyo nchini mwetu hivyo kama mpenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.