Mi naitwa Mlamba Ndimu
Ndio maana unaona sura yangu imejikunja hivyo
Mi sina lolote bana
Kumboli kumbonji tuuuuuuu
Nini jamaaaa...
haya naomba kuingia humu kwa ma great
Ili nipolish skills labda...
ivi jamani, nkishapiga hodi..af nikakaribishwa,niwaamkie au asalamaleykum,au gudevenin! Tuimbe kama bss.. WANA JF FUNGUA NJIAAA,KITOTO CHAANZA TAMBAA..im new
Nawasalimu wana Jamii Forums wote!
Najisikia kuwa na msisimko wa kiaina kuja humu rasmi baada ya kuwa 'guest member' kwa muda sasa. Nataraji kuwa nanyi katika mijadala mbalimbali ya hapa ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.