Mgeeeeni tumeshazoea anakaribishwa setn rum tuuuu,mi ckubali nataka nikaribishwe kona zote jikon,lue, mpaka aaa bedrum la cvyo ni afadha;i niishie njeee....mgen mie napenda kujishughulisha hasa...
Kwa jina naitwa LONGITUDE.
Naomba kukaribishwa na wana Jamiiforums wote waliopo hapa ndani kushiriki katika shughuli za kila siku hapa mjengoni.
Ahsanteni
jamani nipokeeni mgeni wenu kwa muda mrefu nilikuwa mfuatiliaji tu wa mambo kadha wa kadha yaliyokuwa yanazungumziwa humu JF nadhani sasa wakati muafaka kuingia na mimi nitoe mchango kwa kadiri...
nilipigwa ban ya vi-siku kadhaa, kusema kweli sijui kosa langu lilikuwa lipi na bado sijalijua, sababu pia sijawahi post matusi wala abuse yoyote humu so bado sielewi kosa langu la kupigwa ban...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.